Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Heshima kwenu Wadau,
Nina mtoto ambae nlimpata Kitambo tu nkiwa Form 5 Mwaka 2000 but sikubahatika kuendelea na Mama yake kwani sikua tayari kuanza Maisha ya kujitegemea wakati huo.
Sasa yule Dada akaolewa na Jama m wengine na wakapata watoto wengine wawili akiwamo aliezaliwa last month.
Kwakua Mwanangu ana mawasiliano Na Mama yake habari zikamfikia na kuniomba nimnunulie zawadi za Baby Starter Kitampelekee Mdogo wake aliezaliwa (kwa mama yake).
Tatizo limekuja sasa Mume wa huyo X wangu amemsusa huyo mtoto mpya akidai ni wangu, eti na ndio maana nimempelekea Zawadi.
Namuonea Huruma mkewe anaingia matatizoni wakati ukweli sija-do nae toka mwaka 2000 aliponizalia mtoto. Sasa hasaidiwi kwa chochote Na mumewe kiasi ananiomba kama nina hela kidogo nimsaidie.
Nimetumiwa Wazee waje waniulize/wanishawishi niseme ukweli but kila nachowaambia hawakubali.
Vipimo vya DNA ndio kabisaa hawaviamini eti baada ya hivi laribuni kutoa matokeo kua zaidi ya nusu waliopimwa walikutwa wamesingiziwa.
Nifanyaje wadau????
Nina mtoto ambae nlimpata Kitambo tu nkiwa Form 5 Mwaka 2000 but sikubahatika kuendelea na Mama yake kwani sikua tayari kuanza Maisha ya kujitegemea wakati huo.
Sasa yule Dada akaolewa na Jama m wengine na wakapata watoto wengine wawili akiwamo aliezaliwa last month.
Kwakua Mwanangu ana mawasiliano Na Mama yake habari zikamfikia na kuniomba nimnunulie zawadi za Baby Starter Kitampelekee Mdogo wake aliezaliwa (kwa mama yake).
Tatizo limekuja sasa Mume wa huyo X wangu amemsusa huyo mtoto mpya akidai ni wangu, eti na ndio maana nimempelekea Zawadi.
Namuonea Huruma mkewe anaingia matatizoni wakati ukweli sija-do nae toka mwaka 2000 aliponizalia mtoto. Sasa hasaidiwi kwa chochote Na mumewe kiasi ananiomba kama nina hela kidogo nimsaidie.
Nimetumiwa Wazee waje waniulize/wanishawishi niseme ukweli but kila nachowaambia hawakubali.
Vipimo vya DNA ndio kabisaa hawaviamini eti baada ya hivi laribuni kutoa matokeo kua zaidi ya nusu waliopimwa walikutwa wamesingiziwa.
Nifanyaje wadau????