jamani, mtu mwenyewe si mnaona amevaa sare ya prison jamani, na inaelekea hapo alikuwa amepangwa kwenye mstari wa examination parade kutambua mtu aliyefanya kosa......he looks criminal.
hivi uzuri wa mwanume ni nini?
ngoja tuvute subira, maana uzuri wa mwanamke twaujua...wakwetu hili swali gumu ujue.....ngoja tuone watajibu nini
huyu jamaa kama unamuweka wall paper ya laptopu ,HASOGEI MTOTO kwenye laptopu hehehehe
lazima ngoma ya MARA NO OBJCTN!!:doh:
Naitizama hii picha huku nimekunja sura na kushikilia moyo wangu usichomoke
Akikasirika huyu ndani ya nyumba hakukaliki! anamfaa Nyamayao huyu
naomba hati miliki ya picha yako Mfukunyuzi kwani ndo nitaitumia soon as my avtr
Sasa hapo wengine mnamkosoa nani? huyu jamaa wa kwenye picha au Mungu? huu ni ugumu wa maisha tu llaini jamaa angekuwa na pesa mngemsahau. Ebu chukulia mathalani waziri wetu (Nadhani kila mtu anaijua sera yetu ya shamba) angekuwa hana pesa yaani maskini kabisaa watu wangeshamuua maana binadamu bwana ukitisha kidogo wanasema mchawi.