Zawadi kwa zawadi: Al-Shabaab "wajibu mapigo" ya Marekani

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,603
Somalia's Al-Shabaab offer 10 camels for Obama's 'capture'

Shabaabpix.jpg

Sheikh Mukhtar Robow alis Abu Mansur. The US has put a bounty of $5 million on the head of Al-Shabaab's deputy leader. Photo | FILE |
By ABDULKADIR KHALIF in MogadishuPosted Saturday, June 9 2012 at 12:55

A senior official of the radical Islamist Al-Shabaab group announced Friday that his movement was ready to reward anybody bringing in information leading to the killing or capture of top American leaders.

Sheikh Fu'ad Mohamed Khalaf alias Shongole specifically mentioned US President Barack Obama and Secretary of State Hillary Clinton. Sheikh Shongole was reacting to a statement from the US State Department putting a bounty of $33 million for the capture of top Al-Shabaab leaders. We are offering 10 camels for any information concerning (Barack) Obama," said Shongole. Suggesting and mocking that a woman is valued less he added, "We are going to reward 10 hens and 10 cocks to anyone easing information about (Hillary) Clinton."

The Sheikh also informed the crowd that Al-Shabaab leaders survived attempts on their lives by former US President George W. Bush. "We fought Bush and why not Obama?" remarked the hardline cleric.

He added that his militants will seize any American in response to the bounty put on Al-Shabaab heads.

'Right step'

On Thursday, the US offered $7 million to information leading to the capture of Al-Shabaab's Ameer (Spiritual Leader), Ahmed Abdi Aw Mohammed Godane, also known as Sheikh Mukhtar Abdurahman Aby Zubayr. Other rewards were offered for other six wanted militant leaders including Sheikh Shongole. On Friday, the Transitional Federal Government (TFG) issued a statement, welcoming the position taken by the United States in offering rewards towards the capture of the top Al-Shabaab leaders.
Haya ni mateke ya mwisho ya farasi (al-Shabaab) anayekata roho.
TFG, AMISOM, endeleeni kuwamaliza. Ulimwengu hauna nafasi kwa wauwaji.
 
Mimi kilichoniweka hoi ni hiki katika red:
Sheikh Shongole was reacting to a statement from the US State Department putting a bounty of $33 million for the capture of top Al-Shabaab leaders. We are offering 10 camels for any information concerning (Barack) Obama," said Shongole. Suggesting and mocking that a woman is valued less he added, "We are going to reward 10 hens and 10 cocks to anyone easing information about (Hillary) Clinton."
Dhihaka iliyoje!
 
Tanzania imemkamata mmoja wa hawa militants anayetafutwa huko ujerumani; lakini kwa kufanya hivyo lazima iwe tayari kupambana na magaidi hawa kwani inaelekea wameishaingia nchini!!
 
Tanzania imemkamata mmoja wa hawa militants anayetafutwa huko ujerumani; lakini kwa kufanya hivyo lazima iwe tayari kupambana na magaidi hawa kwani inaelekea wameishaingia nchini!!

Ni kweli mkuu na sisi tuwe macho SANA na jamaa hawa, hivi alikuwa amekuja kutembelae TANZANIA au alikua on transit kwenda nchi nyingine? Tuwashukuru sana Watanzania wenye jukumu la usalama wa nchi yetu, inaelekea walipata information mapema kuhusu ujuio wake na profile yake. Kusema kweli nawapa HEKO sana.
 
Ni kweli mkuu na sisi tuwe macho SANA na jamaa hawa, hivi alikuwa amekuja kutembelae TANZANIA au alikua on transit kwenda nchi nyingine? Tuwashukuru sana Watanzania wenye jukumu la usalama wa nchi yetu, inaelekea walipata information mapema kuhusu ujuio wake na profile yake. Kusema kweli nawapa HEKO sana.
Tanzania alikuja kama kimbilio aada ya kuona picha zake zimeenea Kenya yote. Siku za amani zimekwisha Tanzania kuanzia pale walipolipua ubalozi wa Marekani. Na mimi ninawapongeza askari wetu. Wananchi tuwe macho na chochote tunachotilia shaka, iwe mabegi yanayotupwa ovyo ovyo (linaweza kuwa bomu) au wageni, hasa pale Kariakoo ambapo Wasomali wamejazana. Hawa al-KAIDA wanaweza kujipenyeza na kujichanganya na watu.
 
Tanzania alikuja kama kimbilio aada ya kuona picha zake zimeenea Kenya yote. Siku za amani zimekwisha Tanzania kuanzia pale walipolipua ubalozi wa Marekani. Na mimi ninawapongeza askari wetu. Wananchi tuwe macho na chochote tunachotilia shaka, iwe mabegi yanayotupwa ovyo ovyo (linaweza kuwa bomu) au wageni, hasa pale Kariakoo ambapo Wasomali wamejazana. Hawa al-KAIDA wanaweza kujipenyeza na kujichanganya na watu.

Mkuu unacho sema ni sahihi kabisa, ni muhimu sana kuelewa tactics za watu kama hawa, vile vile ikumbukwe kwamba ni watu wenye akili timamu siyo sociopathic, wako tofauta kabisa na vibaka/wezi ambao huwa wanafanya uarifu karibu na nyumbani (eneo walio zoea). Mara nyingi terrorists huchukua muda wa kutosha kutayarisha mashambulizi hawakurupuki, huchunguza maeneo ya kushambulia kwa umakini sana, wanatafuta mbinu za kuwa na urafiki wa kulazimisha na wenyeji, watafanya lolote kuwa-accepted hili wapate taharifa za muhimu - kwa hilo Watanzania tuko makini nalo sana, vita vya ukombozi vilisaidia kutuelimisha, kunaweza kutokea slip up hapa na pale lakini umoja wetu unatusadia SANA.

Labda nikumbushe kwamba, mtu na akili zake timamu hawezi kuamua kijilipua kwa kutaka kuwafanya raia wasio na hatia waishi kwa hofu, wanao fanya vitendo vya kikatili kama hivyo wanakua na sababu za msingi ambazo zinawafanya wawe na chuki/resentment ya kutaka kulipiza kisasi kwa njia yoyote ile ili DUNIA ijaribu ku-address matatizo yao bila ya kujali kama yapo kweli au la; si rahisi watu hawa kufanya vitendo vya terrorism kwenye nchi ambazo hazina matatizo nao.
 
Tanzania imemkamata mmoja wa hawa militants anayetafutwa huko ujerumani; lakini kwa kufanya hivyo lazima iwe tayari kupambana na magaidi hawa kwani inaelekea wameishaingia nchini!!

wapo sana tu..... wanasubiri tuseme su!!
 
Back
Top Bottom