imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Mwalim mgeni kwenye shule ya msingi Bwiti maramba mkoani tanga:
mwalimu:leo tunajifunza mazao ya kibiashara hapa nchini.
Wanafunzi:sawa mwaliimu
mwalimu:
swali 1:taja zao la biashara la mkoa wamaish wagogo?
Mwanafunzi:kahawa na kashata.
Swali 2:taja zao la biashara la wakurya mara?
Mwanafunzi:mayai na baiskeli.
Swali 3:taja zao la biashara la mkoa wa pwani (rufiji)?
Mwanafunzi:mabusha na misuli.
Swali 4:taja zao la biashara la wazaramo (dar)?
Mwanafunzi:ngoma na matusi.
Swali:5 taja zao la biashara la wazanzibar?
Mwanafunzi:ndevu na sigida
mwalimu:nimechoka na sitaki tena kufundisha mitoto kama madenge.
Je unajua zao la biashara la kwetu?
mwalimu:leo tunajifunza mazao ya kibiashara hapa nchini.
Wanafunzi:sawa mwaliimu
mwalimu:
swali 1:taja zao la biashara la mkoa wamaish wagogo?
Mwanafunzi:kahawa na kashata.
Swali 2:taja zao la biashara la wakurya mara?
Mwanafunzi:mayai na baiskeli.
Swali 3:taja zao la biashara la mkoa wa pwani (rufiji)?
Mwanafunzi:mabusha na misuli.
Swali 4:taja zao la biashara la wazaramo (dar)?
Mwanafunzi:ngoma na matusi.
Swali:5 taja zao la biashara la wazanzibar?
Mwanafunzi:ndevu na sigida
mwalimu:nimechoka na sitaki tena kufundisha mitoto kama madenge.
Je unajua zao la biashara la kwetu?