BWANYEENYE
Member
- Jun 2, 2010
- 95
- 17
kwanza wanavunja katiba halafu baadaye wanatafuta justification ya uvunjaji, kweli tanzania tuna viongozi, in other words tanzania is being forced to ammend its union constitution in order to accommodate zanzibar constitution, this is wonderful, nimeamini kweli kiatu hufuata shepu ya mguu.
kiatu chenyewe ni tanganyika na mguu ni zanzibar si walijifanya wanalazimisha muungano kwa nguvu saivi kila shepu tutafuata.....