LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
hawataki muungano nukta! serikali ikiendelea kufumbia macho kwa kuenzi fikra za nyerere... yatatokea makubwa zaidi ya yaliotokea wiki iliyopita ....
muungano unajadilika sijui tatizo nini..?
Kabisa lina uhusiano gani na Muungano?