Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,110
Hata kwenye udikteta kuna wapiga muhuriUnaelewa maan ya Udikteta lakini au mnayatumia tu haya maneno? Habari inasema Baraza la Wawakilishi limepitisha (Bunge), ina maana ni maamuzi ya walio wengi sasa iweje tena uwe udikteta?