Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,682
Rudi darasani kaondoe ujinga nimegundua naongea na mtoto wa nursery
Mimi elimu yangu ni sawa na ya Mbowe.
Rudi darasani kaondoe ujinga nimegundua naongea na mtoto wa nursery
Inaonekana leo hujaingiza pesa halo Lumumba unakazana kukoment ujinga ukachukue posho zako.Angalia wenzio wamekaa miezi 7 bila mshahara kwa ujinga kama wako huuMimi elimu yangu ni sawa na ya Mbowe.
Inaonekana leo hujaingiza pesa halo Lumumba unakazana kukoment ujinga ukachukue posho zako.Angalia wenzio wamekaa miezi 7 bila mshahara kwa ujinga kama wako huu
kwani unadhani watu huwa wana akili? kama huamini nenda serengeti utakuja kunambiaAkili za kibavicha. Umeisoma post hiyo vizuri kuhusu hayo mabadiliko lakini?
MABADILIKO Z'BAR: Baraza la Wawakilishi leo lapitisha marekebisho ya katiba yanayomzuia Rais wa Z'bar kushauriana na upinzani wala kuteua wapinzani kuingia ZEC.
Zanzibar sijui kuna kirusi gani maamuzi wanayoyachukua kuanzia juzi yanatia shaka.....
Kuna tatizo kubwa sana linaendelea...........
Kama ni udicteta huu ndio uchwara wenyewe sasa.......
Wewe toa maoni yako wacha kuquote maoni ya wanaume, jifunze kujitegemea kimawazo