Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Katika hali isiyo ya kawaida, vyombo vingi vya habari huko Zenji vimekuwa bubu ktk kufuatilia na kutangaza matokeo ya awali. Tofauti na vyombo km TBC ambayo inaendelea kufuatilia kila tukio, vyombo vya habari huko visiwani km radio za FM n.k zinapiga muziki tu na hakuna habari zinazotolewa, Je KULIKONIIII?