Karandanya
Member
- Jan 11, 2011
- 28
- 0
Mlikuwa mnagonja nini ikiwezekana tuwekeane passport,kama hamjafa wote mtakula karafuu na maji ya bahari
Hata ile gharama ya kuhudumia wabunge toka Znz, Umeme nk itakuwa nafuu kubwa kwa Tanganyika mpya. Kila lakheri wazo hili.
Zanzibar wana jina lao, Tanganyika haina.
Takribani maoni ya Wazanzibari walio wengi mtandaoni na hapa nyumbani basi huhubiri Zanzibar kujitoa ndani ya Muungano.Suali hili kwa sasa limekuwa ndio uradi wa Wazalendo walio wengi. Kwa ufupi wanataka Zanzibar isimame kama Zanzibar na sio Sehemu au hata tuite nchi iliyo chini ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dah mzee mwanakijiji hata wewe umebariki hili!!????.Hili wala si tatizo; kwa vile tunaenda kuzungumzia Katiba Mpya ni vizuri Zanzibar waje na hoja ya kupiga kura ya maoni kama wanataka kubakia kwenye Muungano au watoke. Asilimia 60 ya Wazanzibari wakikubali kutoka basi tunawashika mkono wa kheri na tutawasaidia kulipa madeni yenu na kuwapiga jeki kidogo ili muanzie pazuri.
Hili wala si tatizo; kwa vile tunaenda kuzungumzia Katiba Mpya ni vizuri Zanzibar waje na hoja ya kupiga kura ya maoni kama wanataka kubakia kwenye Muungano au watoke. Asilimia 60 ya Wazanzibari wakikubali kutoka basi tunawashika mkono wa kheri na tutawasaidia kulipa madeni yenu na kuwapiga jeki kidogo ili muanzie pazuri.
MMKjj na MaxShimba mmeshafunga mjadala huu. Ni haki yao kama taifa lililowahi kuwa huru kutaka kutoka nje ya muungano. Muungano unatakiwa uwe wa hiari na si shari.
Angalizo: Jeuri na dhihaka inayoonyeshwa na baadhi ya waheshimiwa huku ndani dhidi ya Zanzibar si uungwana. OP hajatia neno lolote zaidi ya kusema kile ambacho yeye binafsi angependelea aone.
Kama unafuatilia vizuri Wazanzibari ndio wenye lugha chafu na lugha zilizotolewa humu is just a reaction against them! Remember, action and reaction are equal and opposite! Wabara wanaitwa wakoloni, wanyonyaji (japokuwa sioni hata cha kunyonya toka Zenj), wakandamizaji, nk japokuwa Wazenj wamejaza nafasi ambazo hata sio za Muungano huku Bara na tunafanya nao kazi! Sasa unategemea Wabara watatoa lugha gani ya staha kwa hawa ndugu zetu?
Dah mzee mwanakijiji hata wewe umebariki hili!!????.
Kweli mnataka tuanze kuitana wazanzibar, wachaga, wanyakyusa, wasukuma n.k ndani ya nchi ambayo baba wa taifa alitumia nguvu na upeo wa juu kutuunganisha na mpaka leo hatujawahi kua na vita au dharau za kikabila!!!???
Hapo ndio sikubaliani napo, kwa maana ni bora hata wanaotaka kutoka katika Muungano wakipata Asilimia 50.1 ni bora wapewe....
Dah mzee mwanakijiji hata wewe umebariki hili!!????.
Kweli mnataka tuanze kuitana wazanzibar, wachaga, wanyakyusa, wasukuma n.k ndani ya nchi ambayo baba wa taifa alitumia nguvu na upeo wa juu kutuunganisha na mpaka leo hatujawahi kua na vita au dharau za kikabila!!!???
It has to be an overwhelming majority not a simple majority.
Hili wala si tatizo; kwa vile tunaenda kuzungumzia Katiba Mpya ni vizuri Zanzibar waje na hoja ya kupiga kura ya maoni kama wanataka kubakia kwenye Muungano au watoke. Asilimia 60 ya Wazanzibari wakikubali kutoka basi tunawashika mkono wa kheri na tutawasaidia kulipa madeni yenu na kuwapiga jeki kidogo ili muanzie pazuri.