Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Hili ni swali la kihistoria si la kisiasa. Kwa wale wanaojua ni jinsi gani na ni nani aliyewaunganisha Wazanzibar kuwa nchi moja na kuwapa utambulisho wa utaifa kuwa wao ni Wazanzibari? Swali hili hili linahusu Tanganyika, ni nani aliyewaunganisha na kuwafanya wajitambue kuwa ni "Watanganyika" na kuwa nchi moja na aliwaunganisha vipi?