Hadi magamba warudishe nchi kwa wenyewe.
"naam wacha watupeleke rumande sote tupo tayari, kama baadae itakuja al qaeda au nini hiyo ni juu yetu, halikuhusu"
Dah! Poleni wazenji kwa hayo! Uzidi kutujuza mkuu!
Kile kikundi cha UAMSHO kinachodai zanzibar huru kikidai hakitaki muungano sasa hivi kinatawanywa na FFU kwa mabomu ya machozi na risasi baada ya risasi kadhaa kupigwa hewani.
Wapo hapa Kisonge wakitaka kuelekea kituo cha polisi cha MKUNAZINI. Fujo hizi ni baada ya viongozi wao leo kukamatwa baada ya swala ya magharibi na leo walikua na mkutano eneo la Lumumba.
Watu wanaona sasa! Aibu yao wao waliolala, na watu wote waseme amen!
Mambo ya Ngoso mwachie Ngoso mwenyewe.
ngoswe au ngoso?
Regardless lakini mpaka watu watakapo hacha hubiri na kuongopea watu kuhusu athari za muungano ambazo si za kweli na kutumia chuki tu dhidi ya watu wengine lazima sheria ichukue mkondo wake."naam wacha watupeleke rumande sote tupo tayari, kama baadae itakuja al qaeda au nini hiyo ni juu yetu, halikuhusu"
yes-nazan hata baadhi ya viongoz wa huku zinjibari wamekuwa planted na wabara-sema kwa kuwa public ya zinjibar ipo kama ilivyo-hawawez liona hili-Zanzibar ni koloni la Tanganyika!