Elections 2010 Zanzibar Rais ni Nani Shein au Seif?

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Dec 26, 2006
4,184
671
naam wakuu

nimeona polls mbali mbali tafiti mbali zikionesha nani atakuwa Rais wa Muungano ambazo bila shaka ni JK


ila sijasikia si Redet, si wengine wakizungumzia kuhusu zanzibar

sasa nani tutegemee atashinda na kua Rais wa Zanzibar?



ila kwa maoni yangu Dr shein ni chaguo la wazanzibar
 
Seif anasema yeye atafanya uchumi ukuwe kwa asilimia kumi kwa kuanzia na mwaka wa tano itafikia asilimia kumi na tano

jamani wana uchumi huu si uongo wa mchana?
chi gani duniani ilioweza kukuza uchumi wake kwa 15%
n
 
Seif anasema yeye atafanya uchumi ukuwe kwa asilimia kumi kwa kuanzia na mwaka wa tano itafikia asilimia kumi na tano

jamani wana uchumi huu si uongo wa mchana?
chi gani duniani ilioweza kukuza uchumi wake kwa 15%
n
Haukusikia aliposema anahakikisha mafuta yaliopo Tundauwa yanachimbwa kwa kishindo ?? Huyo ni Seif kaka hana mchezo ,mambo yake ni papo kwa papo ,Kipindapinda upo ?
 
kiseif seif nambie nchi gani na hata hizo zenye mafuta ambazo zinakua uchumi wake kwa 15%

mwambie balahau atudanganya nchana
 
mimi nitakueleza ukweli mt uwa Pwani CCM inagiopa hizi polls kwa visiwan iwkani inajijua kuanzia mwaka 1995 CCM haina uwezo wa kushinda visiwani huu ndio ukweli kila mtu anaujua na CCM hawatokubali kwa hilo kufanyika hizi polls viiswani kwa kuhofia aibu.
 
Mtu wa Pwani said:
Seif anasema yeye atafanya uchumi ukuwe kwa asilimia kumi kwa kuanzia na mwaka wa tano itafikia asilimia kumi na tano.

jamani wana uchumi huu si uongo wa mchana? nchi gani duniani ilioweza kukuza uchumi wake kwa 15%


Mtu wa Pwani,

..Zenj wataanza kuchimba mafuta.

..pia wanapata umeme wa bure toka Tanganyika.

..watajiunga na OIC.

..watapewa 50% ya faida za BOT.

..bandari huru itaanza kufanya kazi na Zenj itakuwa kitovu cha biashara mashariki na kusini mwa Afrika.
 
Seif anasema yeye atafanya uchumi ukuwe kwa asilimia kumi kwa kuanzia na mwaka wa tano itafikia asilimia kumi na tano

jamani wana uchumi huu si uongo wa mchana?
chi gani duniani ilioweza kukuza uchumi wake kwa 15%
n

Sasa unashangaa nini?? No wonder unamshabikia JK sana...!! Hivi unafikiri kwa hali ilivyo sasa kama ni ZERO corruption unafikiri uchumi wa nchi kama zetu unaweza kukuwa kwa kiasi gani kwa miaka miwili tu ya kwanza. Sasa kama Chenge pekee yake amakomba mabilioni halafu anakwambia ni visenti tu, sasa jaribu kuimagine kuna akina Chenge wangapi TZ??? Pesa kama hizo pekee zikiokolewa unajuwa uchumi utapanda kwa kiasi gani??? Wewe mwenzetu inawezekana uko kwenye circle ya kina Karume ndiyo maana uko kihiyo!!!!
 
ziko nchi nyingi zina opportunities nyingi kuliko hizo ni nchi gani duniani narejea ilioweza kukuza uchumi wake kwa asilimia 15 seuze huyu anaeota kwa kusubiri kusaidiwa na nani kasema watapewa 50% ya BOT?

ukweli siamini ila nataraji alikusudia kuwapiga kamba wale wanachama wake pale
 
Sasa unashangaa nini?? No wonder unamshabikia JK sana...!! Hivi unafikiri kwa hali ilivyo sasa kama ni ZERO corruption unafikiri uchumi wa nchi kama zetu unaweza kukuwa kwa kiasi gani kwa miaka miwili tu ya kwanza. Sasa kama Chenge pekee yake amakomba mabilioni halafu anakwambia ni visenti tu, sasa jaribu kuimagine kuna akina Chenge wangapi TZ??? Pesa kama hizo pekee zikiokolewa unajuwa uchumi utapanda kwa kiasi gani??? Wewe mwenzetu inawezekana uko kwenye circle ya kina Karume ndiyo maana uko kihiyo!!!!


mbona Karume hata MaCUF wanamkubali

na jitihada zote hajawahi kufikisha 15% tuzungumzeni realistic
 
mbona Karume hata MaCUF wanamkubali

na jitihada zote hajawahi kufikisha 15% tuzungumzeni realistic

Kawambie waache kugawana pesa zetu, ndiyo utajuwa kuwa uwezo wetu ni kiasi gani. Unashangaa nini wakati uchumi tu wa Shelisheli yenye watu 80,000 ni mkubwa kuliko wa ZNZ yenye watu 1,000,000???
 
bado hamtaki au mnataka kunizungusha ni nchi gani 15% uchumi wake umekuwa iwe na watu wengi au kidogo?

au zanzibar itakuwa ya kwanza ?
 
Mtu wa pwani si ajabu zanzibar kua ya kwanza kwani hata muundo huu unaokuja wa serikali ni nchi ya kwanza.

Uchumi wa china unakua kwa 20%

halafu nyie ccm hamna ilani au sera? Maana badala ya kutangaza sera zenu munaanza kusema hili haliwezekani blaablaa...
 
Mtu wa pwani si ajabu zanzibar kua ya kwanza kwani hata muundo huu unaokuja wa serikali ni nchi ya kwanza.

Uchumi wa china unakua kwa 20%

halafu nyie ccm hamna ilani au sera? Maana badala ya kutangaza sera zenu munaanza kusema hili haliwezekani blaablaa...

wapi

china hajafika hata 12% usianze uongo wa mchana
 
Sasa wewe unauliza maswali na majibu unatoa mwenyewe ukiambiwa otherwise unabisha, this is wht is called childish!!!!!
 
Mtu wa Pwani sijuwi huwa unakunjwa nini halafu unakuja na hadithi za ajabu jamvini...wapi na lini Shein alikuwa ni chaguo la wazanzibari?
Si ndiyo huyo watu walivunja chupa kule Bwawani waliposikia kachaguliwa?
Nani alikuja kumpokea Shein kutoka Dodoma kuja Zanzibar...si watanganyika?
Nani alimpigia kura huko Dodoma...si Watanganyika?
Mtu wa pwani...mtafutie Shein mbeleko inayomfaa usimweke katika migongo ya wazanzibari, si chaguo lao... Shein anawajuwa waliomuweka na yupo hapo kulipa fadhila wakifanikiwa kumlazimisha atawale!!!
 
Mtu wa Pwani sijuwi huwa unakunjwa nini halafu unakuja na hadithi za ajabu jamvini...wapi na lini Shein alikuwa ni chaguo la wazanzibari?
Si ndiyo huyo watu walivunja chupa kule Bwawani waliposikia kachaguliwa?
Nani alikuja kumpokea Shein kutoka Dodoma kuja Zanzibar...si watanganyika?
Nani alimpigia kura huko Dodoma...si Watanganyika?
Mtu wa pwani...mtafutie Shein mbeleko inayomfaa usimweke katika migongo ya wazanzibari, si chaguo lao... Shein anawajuwa waliomuweka na yupo hapo kulipa fadhila wakifanikiwa kumlazimisha atawale!!!


Junius fatalia ni jinsi gani mikutano ya Dr Shein inavyohudhuriwa na wazanzibari wengi kuliko wa maalim


angalia uone jinsi sera za shein zinavyorejesha matumaini kwa wazanzibari
 
Junius fatalia ni jinsi gani mikutano ya Dr Shein inavyohudhuriwa na wazanzibari wengi kuliko wa maalim


angalia uone jinsi sera za shein zinavyorejesha matumaini kwa wazanzibari

Kwa hiyo Shein ana sera za sasa na si CCM!!!

Kwa taarifa yako, huko visiwani ni Seif tu mtake msitake. Karume alishaona hilo ndiyo sababu akakubali mseto. CCM hawawezi kuchakachua matokeo kotekoete yaani bara na visiwani hivyo nguvu zote zinahamishiwa bara.
 
mbona Karume hata MaCUF wanamkubali

na jitihada zote hajawahi kufikisha 15% tuzungumzeni realistic

Je unaelewa kuwa Karume alikuwa ni CUF ,je unaelewa kuwa Kikwete alikuwa CYF na inasemekana bado wana imani na Chama hicho.

Halafu Zanzibar ni kisiwa kidogo sana hivyo wakifanikiwa kufukua matangi 1000 kwa siku basi baada ya mwaka watakuwa kwa wananchi wake hawana haja ya kufanya kazi na magari yao yatakuwa yakijazwa petroli bure ,nyie huko Tanganyika waacheni akina chenge wawachague.
 
Mtu wa Pwani,

..wa-Zenj wako makini sana na masuala ya uchaguzi.

.si rahisi Redet kupeleka michezo ya kitoto kwa wa-Zenj.

..kuhusu kukua kwa uchumi wa Zenj nadhani potential hiyo ipo. Zenj ni eneo dogo sana na kuna fursa kama za utalii, uvuvi, kilimo, biashara na viwanda. wa-Zenj wakiwa makini wanaweza kupiga hatua kubwa tu za kiuchumi.

..kitu ambacho ningeshauri kiongozi yeyote yule wa Zenj kukishughulikia kwa haraka sana ni kupunguza ukubwa wa serikali na baraza la wawakilishi. linganisha idadi wa wawakilishi iliyokuwepo mwaka 1964 na hii iliyopo sasa hivi. naamini huo ni mzigo mkubwa sana kwa wananchi wa Zenj.
 
Back
Top Bottom