Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
naam wakuu
nimeona polls mbali mbali tafiti mbali zikionesha nani atakuwa Rais wa Muungano ambazo bila shaka ni JK
ila sijasikia si Redet, si wengine wakizungumzia kuhusu zanzibar
sasa nani tutegemee atashinda na kua Rais wa Zanzibar?
ila kwa maoni yangu Dr shein ni chaguo la wazanzibar
nimeona polls mbali mbali tafiti mbali zikionesha nani atakuwa Rais wa Muungano ambazo bila shaka ni JK
ila sijasikia si Redet, si wengine wakizungumzia kuhusu zanzibar
sasa nani tutegemee atashinda na kua Rais wa Zanzibar?
ila kwa maoni yangu Dr shein ni chaguo la wazanzibar