Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,736
- 14,635
kama ilivyo huku bara TANGANYIKA SI ENEO SALAMA KWA WAISLAM,KILA SIKU MASHUSHUSHU WANATUSUMBUA MISIKITINI,WENGINE WAKRISTO WANAJIFANYA KUJA KUSWALI ILI KUTUSKIZA TUNAZUNGUMZA NIN?
Wanawapiga masheikh wetu risasi? Je hao mashushushu lazima wawe ni wakristo?fikiri tena!tunawapiga vita,tunamwua mmoja wanaamka mia moja,Adui yetu ni ccm,ndiye huyu anayetuonyesha kwa kidole kuwa adui yetu yupo upande tofauti,kumbe mkono wake wa pili una agenda hatari kwetu!!waislamu tushtuke,tuchukue hatua.