Zanzibar: Meli mpya yawasili!

Naogopa kusema lolote kwa sasa, maana likitokea jambo tu, itaanza kusemwa hii meli/boti ilitengenezwa enzi za titanic, tuombe Mungu yote yaende salama
 

Fantastic... Sasa itakuwaje MUUNGANO UKIVUNJIKA ? HIYO MELI ITAKUWA INAFANYA

ZIARA kati ya PEMBA na
ZANZIBAR ?

HII MELI NI YA SAFARI NDEFU PWANI YA aFRIKA MASHARIKI YOTE ITATEMBEA NA UKIZINGATIA ALSHABABU HAWANA NGUVU ITAKUWA COST YOTE YA HINDI.
 
Hongera yake bwana bakhressa
hONGERA SANA BAKHRESSA. hii ndiyo faida ya kuwa na mabepari katika nchi. wao mabepari siku zote huangalia quality kabla ya kununua kitu. Hii meli inanikumbusha kivuko kimoja kipo pale new york city kinachopeleka watu starten Ireland. kinachukua watu 1000 kwa mpigo na humo ndani ni mzuri sana kama ilivyo hiyo meli ya bakhressa.

kama hii tenda ya kununua meli angepewa mwansiasa wa bongo basi yeyey angeleta meli bovu la mwaka 1947 halafu anchikichia pesa mfukoni.
 
Naamini atakuwa amezingatia sea safety kwa life jackets za kutosha. Otherwise Azam Marine imesaidia sana usafiri Zenj.
 
Ni mpya au imepakwa rangi. Maji ya bahari au ziwani, isije ikawa kama hizi zilizozama.


Kwa Ukweli ni MPYA... Tuache SIASA kuna picha earlier walionyesha ikiwa inatengenezwa; Halafu ni ya

BAHARINI Nadhani Kufika Zanzibar haikubebwa kama ZINGINE; halafu ina nguvu Inapambana na

MAWIMBI MAKALI ya
BAHARI ya PACIFIC; kwahiyo BAHARI yetu ya HINDI haifui DAFU na Inaweza

kupiga Masafa Marefu zaidi ya
DAR-ZANZIBAR - TUACHE FITINA HIKI NDIO CHOMBO

KILICHOTAKIWA NA KIPYA sio Second Hand...
 
Kweli Mzee Bakhresa anastahili kuwa katika jarida la matajiri la FORBES, anatisha.
 
Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi Zanzibar

attachment.php


Kampuni ya Azam Marine inayomiliki boti ziendazo kasi hapa nchini, leo imeingiza meli mpya na ya kisasa itakayochukua zaiidi ya abiria 1500 na magari 200. Meneja Mkuu wa Kamuni ya Azam Marine, Bw. Hussein Mohammed Saidi, amesema leo mjini Zanzibar kuwa meli hiyo ambayo itafanya safari zake kati ya Dar es Salaam, zanzibar na Pemba itatoza nauli nafuu kwa abiria wake.

Amesema meli hiyo ambayo inatarajiwa kuanza safari zake mara baada ya kukamilisha taratizo za mamlaka mbalimbali. Meli hiyo inayoitwa AZAM SEALINKI ni ya kisasa katika ukanda huu wa Mwambao wa nchi za Kusini na Pembe ya Afrika.

Bw. Hussein amesema Meli hiyo ambayo imetengenezwa nchini Ugiriki na inatayarishiwa eneo maalumu litakalotumika kwa kupakia na kushusha abiria na mizigo yakiwemo magari. Amesema meli hiyo itasafiri kwa muda wa saa tatu kutoka Dar es salaam na Zanzibar na saa 4 kutoka Zanzibar na Pemba ama saa 7 kutoka dar es salaam na Pemba.

Amesema pamoja na kuwasili kwa Meli hiyo, Kampuni ya Azam pia inatarajia kuleta meli nyingine ya abiiria inayojulikana kama Kilimanjaro namba 4.

Kwa upande wao, baadhi ya wananchi wa Visiwa vya zanzibar wamepongeza ujio wa meli hiyo lakini wakaitaka serikali kuendelea kudhibiti uingizwaji wa meli chakavu na kukuu ili kuepuka uwezekano wa kutokea ajali za mara kwa mara.

Bwana Rajabu Khamisi mkazi wa Pemba na Bi. Rehema Omari wa mjini Zanzibar, wamesema kuna haja ya Serikali kusimamia ukomo wa nauli ili kila mwananchi aweze kusafiri kutoka sehemu moja na nyingine kwani wamesema vipato havilingani.


Wasalaam, Nimekuuliza PICHA nami NIMEPATA PICHA na WEWE UMEZIPATA... I like that...

Very Updated News...
 
Dah ningekua namapenzi na kuitembelea Zenji ningeipanda lakini kwa kua sina mpango wala sijisumbui. . . .
 
hongera Azam kwa kuwekeza ndani,japo haupo katika walipaji wakubwa wa kodi.
 
Kwa Ukweli ni MPYA... Tuache SIASA .

Kwa hiyo mtu akinunua gari jipya la kubebea mizigo na ku-convert kuwa basi la abiria ni sawa simply because gari lilikuwa jipya? Siku ikizama tena huko baharini uje utuambie ilikuwa mpya! Use your brain. Do research to know the details.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom