Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Wakuu nimekuwa katika safari za kikazi Zanzibar katika pwani za Marumbi na Chwaka.
Nimegundua kuna hoteli ya Msomali yenye kima monkey mkubwa mlangoni (wa kuunda) hoteli hii tumeingia na kukuta ikiwa full shwari na wafanyakazi wapo kama kawaida.
Tulichogundua hajawi kuingia mteja hata mmoja wa kulala au kula, bali wa kuja kama kutembea na kuondoka ghafla.
Kumbe hoteli hii inayomilikiwa na Msomali tuliambiwa jina moja (ADNAN) si mzalendo ila ndio hao hao Uamsho kwa hiyo wanafichwa.
Biashara ya hapo ni kuuza Madawa ya Kulevya tu.
Wakuu wenye data zaidi mtujuze au nirudi kesho kwa details zaidi.
Nimegundua kuna hoteli ya Msomali yenye kima monkey mkubwa mlangoni (wa kuunda) hoteli hii tumeingia na kukuta ikiwa full shwari na wafanyakazi wapo kama kawaida.
Tulichogundua hajawi kuingia mteja hata mmoja wa kulala au kula, bali wa kuja kama kutembea na kuondoka ghafla.
Kumbe hoteli hii inayomilikiwa na Msomali tuliambiwa jina moja (ADNAN) si mzalendo ila ndio hao hao Uamsho kwa hiyo wanafichwa.
Biashara ya hapo ni kuuza Madawa ya Kulevya tu.
Wakuu wenye data zaidi mtujuze au nirudi kesho kwa details zaidi.