Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
nenda ukalime wewe kabwela... tarehe ya muungano inajulikana na kwahiyo sio kitu cha ajabu kama tu waTanganyika wakisema nawao basi muungano huu inawezekana kuvunjwa... ninacho amini mimi ni kuwa waZanzibari wamechoka kuburuzwa... this is the beginning of the end...
Hakuna Mzanzibari aliyeburuzwa, acha kupandikiza mawazo ya chuki kwa hasara ya nchi yetu!