LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
for your information karume alikuwa hautaki muungano kwa sababu alikuja kugundua kapigwa mchanga wa macho na nyerere..by the way hata mimi nataka muungano uvunjike hauna maana yoyote
Si kweli kwamba Karume hakupenda Muungano, Nyerere alipomuuliza Karume kama anataka waunganishe nchi au la akasema "niko tayari hata sasa!" Ndio maana hakujitoa kwenye huo Muungano na alikubali kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais kwa muda wote alipokuwa hai! Tatizo la baadhi ya Wazenj wachukia Muungano na wabaguzi wanafikiri kwamba bila Muungano wataendelea sana na eti watakuwa "Dubai ya Afrika Mashariki!" Sijui ndoto hii itatimizwa kwa rasilimali zipi!