miftaah
Member
- May 31, 2012
- 30
- 5
Ningependa kumpongeza Mh.Raza,mwakilishi wa jimbo la kule kwetu znz, kwa kusema kua znz inayo haki ya kujiunga na OIC, ivi kuna sababu gani znz isijiunge?.....sisi kama wazanzibari tunayoipenda nchi yetu tutafanya Inshaallah kwa njia yoyote tujiunge na OIC na hata kama hao wadaganyika wakikataa na wakatae....