Acha kutetea ujinga wewe kijana au umetumwa humu ndani kufanya hivyo? Njaa itakuua kijana angalia na kuwa makini, Muungano wetu utadumu kama inakuuma kanywe sumu ufe tuachie muungano wetu.Tanganika akili za mwewe.Zenji fanjeni yenu.
Wewe ndo ulichunwa na buzi lako lkn sio uusemee vbaya huu Muungano, kama huna hoja bora ukae kimya tu.Umma kubadilika kama upepo..nimeipenda sana hiyo..pia napenda watu wa zenj...nami nasema nikiwa mtanganyika....tumechoka na muungano wa chuna buzi..hatuutakiiiiiii....na mkone kutegemea tanganyika sb sio nchi yenu.
Muungano wa kulazimishana.
Acha wehu wewe kidudu mtu, ulilazimishwa si uhame nchi utuachie nchi yetuMuungano wa kulazimishana.
Koti la muungano wamevaa wazanzibar,
Acha kuota wewe, Muungano ni wetu sote hata wewe unaeukana, hata mfanye nini Muungano huu hauwezi kuvunjika ng'ooooKoti la muungano wamevaa wazanzibar,
Koti la muungano wamevaa wazanzibar,
Muungano wa kulazimishana.
Kijana umekunywa viroba nini? Mbna hueleweki ulichokiweka hapo juu? Jipange tena mana hatukuelewi wenzioJay Milionea 19:45 Yesterday
By sijalih:
Koti la muungano wamevaa
wazanzibar,
Acha kuota wewe, Muungano ni
wetu sote hata wewe
unaeukana, hata mfanye nini
Muungano huu hauwezi
kuvunjika ng'oooo
Reply Report Post
Bukama Batoko 22:10
Yesterday
By sijalih:
Koti la muungano wamevaa
wazanzibar,
Wananchi wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
tumeamua rasmi na kwa dhati
kujenga katika nchi yetu. Wewe
watoka wapi yakhe kutuletea
vimbwanga vyako?
Koti la muungano wamevaa wazanzibar,
karume na nyerere ndio walishawahi kutuambia koti la muungano limeanza kubana, siku utakapokutana nao waulize walilishona au kununua wpiMuungano haujawahi kununua
au kushona koti!