mishalejuu
Senior Member
- Jun 27, 2012
- 196
- 26
HUO UZUSHI...Zanzibar hakuna suala hilo kwa sasa kwani mie ndo niko huku. HUyu MwanaJF hasemi ukweli...sasa hivi zanzibar i-shwari sana jioni hii.
wamevalia kiarabu yaani wamesjitiri.au unataka wavalie kizungu wakae uchi?nimefika sasahivi zanzibar, ninachokiona live ni mbio za polisi na wananchi waliovalia kiarabu cha ajabu wanaelekea north ya zanzibar town eti uamsho wanakutana hapo katika viwanja vya lumumba je mkutano ni halali au haramu? Magari mengi yenye kelele na bendera za uamsho
uamsho ni jumuia ya kidini au kisiasa?
Hivi ni sahihi kwa jumuia ya kidini kukusanya waumini kwa lengo la kupinga muungano au jambo lingine la kisiasa,tena katika mikutano ya hadhara?
Uamsho umewajibika vipi kwa uchomaji wa makanisa ulio husishwa na waumini wake mei 26 na 27?
My take:
Uamsho una mkono wa wanasiasa wa zanzibar waliopo serikalini,na kutokana na uwepo wa serikali ya umoja wa kitaifa,wanashindwa kupaza sauti zao kwa uhuru.
Time will tell the truth.
Nimefika sasahivi Zanzibar, ninachokiona LIVE ni mbio za Polisi na Wananchi waliovalia kiarabu cha ajabu wanaelekea North ya Zanzibar town eti Uamsho wanakutana hapo katika Viwanja vya Lumumba je Mkutano ni halali au haramu? magari mengi yenye kelele na bendera za Uamsho
mie napita tuu.
Nimefika sasahivi Zanzibar, ninachokiona LIVE ni mbio za Polisi na Wananchi waliovalia kiarabu cha ajabu wanaelekea North ya Zanzibar town eti Uamsho wanakutana hapo katika Viwanja vya Lumumba je Mkutano ni halali au haramu? magari mengi yenye kelele na bendera za Uamsho
Uamsho ni jumuia ya kidini au kisiasa?
Hivi ni sahihi kwa jumuia ya kidini kukusanya waumini kwa lengo la kupinga muungano au jambo lingine la kisiasa,tena katika mikutano ya hadhara?
Uamsho umewajibika vipi kwa uchomaji wa makanisa ulio husishwa na waumini wake mei 26 na 27?
My Take:
Uamsho una mkono wa wanasiasa wa Zanzibar waliopo serikalini,na kutokana na uwepo wa serikali ya umoja wa kitaifa,wanashindwa kupaza sauti zao kwa uhuru.
Time will tell the truth.
Uamshoooooooooooooooooooooooooooooo.......
Things fall apart (Chinua Achebe)
LOh tumechangia na kutoa hisia zetu, ila mleta mada mpaka sasa hujatueleza
hayo maandamano kuelekea viwanja vya malindi ni kwa ajili ya nini? mkutano wa hadhara au?
manake ulivyowasilisha mada napata picha ya mapambano!
uamsho hawana tofauti na boko haram, na al-shabab yote ni makundi ya kiislamu yenye msimamo mkali na sura ya kigaidi, hivyo ndio kusema serikali ijitahidi kulisambaratishia mbali
Nimefika sasahivi Zanzibar, ninachokiona LIVE ni mbio za Polisi na Wananchi waliovalia kiarabu cha ajabu wanaelekea North ya Zanzibar town eti Uamsho wanakutana hapo katika Viwanja vya Lumumba je Mkutano ni halali au haramu? magari mengi yenye kelele na bendera za Uamsho
mzaire nawe umeliona hilo. Nionavyo mimi, Great thinker inabidi kufuatilia jambo vizuri na kulielewa kabla ya kuwasilisha jamvini! Vinginevyo tutajikuta tunachangia hisia za mtu jinsi anavyolichukulia jambo yeye personally.Huyu mleta mada ni mzushi tuu, kilichotokea MUAMSHO walipanga kufanya mhadhara viwanja vya LUMUMBA lakn wamekataliwa na mhadhara ukahamishiwa msikiti wa m-buyuni viwanja vya Malindi na watu walifurika sana kuliko kawaida na hvo kupelekea askari kuja kiwanjai ndicho alichokiona huyu mleta mada.
Hivi vijitu bana....