Zanzibar just now hali ya hatari

Nipo hapa Viwanja vya Lumumba wamejaa askari kila pahala pa kuingilia na hamna pa kuingilia ndani wamejaa polisi na waandamanaji wa Uamsho wamerudi mbio kuelekea maeneo ya Malindi wakisema maneno ya Kuruani mi sielewi
Mkuu umenichekesha sana, 16:50 unaona watu 'waliovalia kiarabu' + polisi wanakwenda mbio north ya zanzibar town! 17:01 uko huko viwanja vya Lumumba! Vipi na wewe uliungana na mbio za hao waliovaa kiarabu?! Angalia polisi dhaifu wa huko wasije wakakuunganisha na uamsho wakati hata hayo maneno wanayosema huyaelewi!
 
Wana haki ya kudai uhuru wao.Isipokuwa wasiharibu au kuumiza raia wasio na hatia...Hata Tanganyika tuna haki ya kudai uhuru wetu ilimradi tusiharibu au kuumiza raia wasio na hatia

Hakuana haja ya polisi kutumia nguvu.Fikra za kiuanamapinduzi hazizimwi kwa njia hiyo.Wasome historia vizuri
 
Mimi nawaunga mkono. Acha wapiganie nchi wajitenge na huu usanii wa viongozi wa JMT. Zanzibar wako seriuos na they can do better in absence of tanganyika
 
Mimi nawaunga mkono. Acha wapiganie nchi wajitenge na huu usanii wa viongozi wa JMT. Zanzibar wako seriuos na they can do better in absence of tanganyika

naunga mkono hoja. Ila kama hao uamsho wana bendera tayari, basi they can do any good to Z'bar.
 
Nimefika sasahivi Zanzibar, ninachokiona LIVE ni mbio za Polisi na Wananchi waliovalia kiarabu cha ajabu wanaelekea North ya Zanzibar town eti Uamsho wanakutana hapo katika Viwanja vya Lumumba je Mkutano ni halali au haramu? magari mengi yenye kelele na bendera za Uamsho

Uamsho ni jumuia ya kidini au kisiasa?
Hivi ni sahihi kwa jumuia ya kidini kukusanya waumini kwa lengo la kupinga muungano au jambo lingine la kisiasa,tena katika mikutano ya hadhara?
Uamsho umewajibika vipi kwa uchomaji wa makanisa ulio husishwa na waumini wake mei 26 na 27?
My Take:
Uamsho una mkono wa wanasiasa wa Zanzibar waliopo serikalini,na kutokana na uwepo wa serikali ya umoja wa kitaifa,wanashindwa kupaza sauti zao kwa uhuru.
Time will tell the truth.
 
kumbe Yesu alikuwa clever sana aliposema 'ya Kaizari mpeni Kaizari, ya Mungu mpeni Mungu'

Alisema wapi na lini?

Yesu alikuwa anawafumuamua watu serikali (watoza ushuru) vibaya mno; hakuwa na masihara na wajinga wajinga wa serikali ndio maana walitaka ku-suicide (Lakini Allah Akamuokoa)
 
LOh tumechangia na kutoa hisia zetu, ila mleta mada mpaka sasa hujatueleza
hayo maandamano kuelekea viwanja vya malindi ni kwa ajili ya nini? mkutano wa hadhara au?
manake ulivyowasilisha mada napata picha ya mapambano!
 
Back
Top Bottom