Zanzibar iungwe na Bara kwa Daraja - Wazo Jipya

Kweli tuna kazi sana, tumeumizwa na ufisadi kifikra kiasi kwamba hatuwezi kujaribu kuruka tena. Hivi Reli ya Tazara ilijengwa kwa sababu gani? Kwanini barabara ya Morogoro ilijengwa na kuunganisha na sehemu kama Ruvuma wakati watu walikuwa wanapita pale Lukumbulu? Hivi, barabara ya kuunganisha Mwanza na Dar sasa hivi ilijengwa kwa ajili gani?

Watu wanataka ati upunguzwe msongamano Dar, wakati watu wa Dar msongamano wenyewe hauwasumbui, hawasumbuliwi na mifereji mibovu, hawasumbuliwi na lolote. Wamejifunza kuishi katika hali hiyo. Naanza kuwa na wasiwasi na kuamini kweli Nyerere alikuwa mbali sana ya muda wake.. he really was.
 
Kweli tuna kazi sana, tumeumizwa na ufisadi kifikra kiasi kwamba hatuwezi kujaribu kuruka tena. Hivi Reli ya Tazara ilijengwa kwa sababu gani? Kwanini barabara ya Morogoro ilijengwa na kuunganisha na sehemu kama Ruvuma wakati watu walikuwa wanapita pale Lukumbulu? Hivi, barabara ya kuunganisha Mwanza na Dar sasa hivi ilijengwa kwa ajili gani?

Watu wanataka ati upunguzwe msongamano Dar, wakati watu wa Dar msongamano wenyewe hauwasumbui, hawasumbuliwi na mifereji mibovu, hawasumbuliwi na lolote. Wamejifunza kuishi katika hali hiyo. Naanza kuwa na wasiwasi na kuamini kweli Nyerere alikuwa mbali sana ya muda wake.. he really was.

Mkjj, kuna thread hii HAPA, ambayo kwa ufundi mkubwa inaelezea ni namna gani wabongo tumezibwa fikra katika kufanya au walau kuwaza tu mambo makubwa kwa ajili ya manufaa yetu na ya vizazi vijavyo!! We have been under siege for the past 20 years and now can't think for ourselves!! But luckily enuff for some few of us - we know exactly who is to blame...

Fikiria hawa jamaa huko Uingereza kama wangelikuwa na mawazo mafupi mafupi kama ya CCM nchi yao ingelifika wapi...?? Maana tuliyoshuhudia kuhusu swala la umeme kwa miaka 6 sasa ni kielelezo tosha kabisa cha "patching mentality" ndani ya chama tawala!!

Wenzetu huko walifikiria na kuanza kujenga London underground miaka ya 1860!! - http://en.wikipedia.org/wiki/London_Underground na sewarage system ambayo imedumu zaidi ya karne moja walibuni miaka hiyo hiyo - http://en.wikipedia.org/wiki/London_sewerage_system.
Sasa niambie, vitu vya mwaka 2005 tu hapa kwetu tayari vimeshaanza kusuasua!! Au niambieni mpango wowote uliopangwa na CCM miaka ya karibuni kwa ajili ya kudumu miaka 70 ijayo?? Kama upo, ni upi huo...?? Hebu angalia hapa master plan ya bandari ni kwa ajili ya miaka 20 tu - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/52069-ports-modernisation-master-plan-ready.html... Tutafika?!!
 
Kweli tuna kazi sana, tumeumizwa na ufisadi kifikra kiasi kwamba hatuwezi kujaribu kuruka tena. Hivi Reli ya Tazara ilijengwa kwa sababu gani? Kwanini barabara ya Morogoro ilijengwa na kuunganisha na sehemu kama Ruvuma wakati watu walikuwa wanapita pale Lukumbulu? Hivi, barabara ya kuunganisha Mwanza na Dar sasa hivi ilijengwa kwa ajili gani?

Watu wanataka ati upunguzwe msongamano Dar, wakati watu wa Dar msongamano wenyewe hauwasumbui, hawasumbuliwi na mifereji mibovu, hawasumbuliwi na lolote. Wamejifunza kuishi katika hali hiyo. Naanza kuwa na wasiwasi na kuamini kweli Nyerere alikuwa mbali sana ya muda wake.. he really was.

Binaadamu hupenda sana kitu kitakachompunguzia shida au kitamrahisishia mambo yake lakini binaadamu huyohuyo analazimika kuwa na mipaka ya kutaka raha kutokana na sababu mbalimbali. Pengine hizo sababu wewe unaziona ndio kufikiri kidogo kwetu tofauti na kufikiri kusadikika unakotaka sote tuwer nako. La hasha Bagamoyo kumejengwa barabara unaonaje kama kungejengwa kiwanja cha ndege si ingekuwa bora zaidi? Lakini ikiangalia kujengwa kwa usafiri wa ndege na barabara utaona kuwa huu wa barabara ni wa faida zaidi ingawa kama ni raha ingekuwa zaidi kwa ndege.

Sasa tunajenga daraja la kwenda Zanzibar kwa sababu gani? Mbona hakuna shida ya usafiri wa majini na wa ndege? Tunapoangalia hapo na tukiangalia mambo yaliyo muhimu ambayo hatuna ndio tunafikia huo mtazamo mdogo unaoufikiria. Hujuwi wenzetu walijenga daraja hiyo kwa kusukumwa na nini. Pengine ni kutaka kujitambulisha kwa dunia tu.
 
Mwanakijiji how about the fastes train? Si zinakwenda pamoja hizi kwa hawa wenzetu wa China?
 
Binaadamu hupenda sana kitu kitakachompunguzia shida au kitamrahisishia mambo yake lakini binaadamu huyohuyo analazimika kuwa na mipaka ya kutaka raha kutokana na sababu mbalimbali. Pengine hizo sababu wewe unaziona ndio kufikiri kidogo kwetu tofauti na kufikiri kusadikika unakotaka sote tuwer nako. La hasha Bagamoyo kumejengwa barabara unaonaje kama kungejengwa kiwanja cha ndege si ingekuwa bora zaidi? Lakini ikiangalia kujengwa kwa usafiri wa ndege na barabara utaona kuwa huu wa barabara ni wa faida zaidi ingawa kama ni raha ingekuwa zaidi kwa ndege.

Sasa tunajenga daraja la kwenda Zanzibar kwa sababu gani? Mbona hakuna shida ya usafiri wa majini na wa ndege? Tunapoangalia hapo na tukiangalia mambo yaliyo muhimu ambayo hatuna ndio tunafikia huo mtazamo mdogo unaoufikiria. Hujuwi wenzetu walijenga daraja hiyo kwa kusukumwa na nini. Pengine ni kutaka kujitambulisha kwa dunia tu.

Kujitambulisha muhimu hapa duniani mkuu... no footprint, no recognition! Simple as that. Hebu jiulize kwanini Mh. Rais wetu alienda kujitambulisha kwa Bush na Obama mara baada ya kuchaguliwa?? Au kwanini kuchwa kuta anapiga misele akipishana angani kwa ajili ya kuwafata huko huko na bakuri letu... pangelikuwa na makubwa hapa si wangelikuja wenyewe!! Au nchi zinazojijengea man-made wonders zimeanza kukosa soko la watalii siku hizi??! Kitu kinaweza kujengwa sasa hivi lakini manufaa yake yakawa miaka 50 ijayo... hata hivyo hii si hoja sana; hoja iliyopo hapa kwa maoni yangu ni kule kuweza kuwaza/kufanya makubwa kwa ajili ya manufaa ya vizazi vijavyo... siyo kila jambo liwe kwa ajili ya miaka mitano mitano tu na kushinda chaguzi ndani ya miaka hiyo!! Maana ahadi na mipango mingi ya CCM kwa miaka mingi sasa imekuwa ya aina hii!!! Marekani na Urusi walianza kwa kujitambulisha kwa kurusha vifaa angani, leo hii faida za kujitambulisha huko twaziona kila kona na kwa kila mtu mwenye kimobiteli!!!
 
Sasa tunajenga daraja la kwenda Zanzibar kwa sababu gani? Mbona hakuna shida ya usafiri wa majini na wa ndege? [/B]Tunapoangalia hapo na tukiangalia mambo yaliyo muhimu ambayo hatuna ndio tunafikia huo mtazamo mdogo unaoufikiria. Hujuwi wenzetu walijenga daraja hiyo kwa kusukumwa na nini. Pengine ni kutaka kujitambulisha kwa dunia tu.

Yaani nimependa jibu lako hadi nimecheka moyoni; kwa hiyo mtaanza kujenga daraja mkisha kuwa na tatizo na usafiri wa majini na wa ndege. Hadi msongamano wa magari utokee ndio mnafikiria kupanua barabara, hadi kina mama walale sakafuni baada ya kujifungua ndio mnafikiria kuongeza vyumba na huduma Temeke? Hadi watoto walundikane kwenye mashule ndio shule za kata zinapokuja, na hizo shule hadi hivi sasa zijae matatizo ndio watu wataanza kutafuta suluhisho. Hadi majumba yajengwe ovyo bila kufuata taratibu ndio magenius wetu waanze kuja na kampeni ya bomoa bomoa. Of course hakuna tatizo la usafiri sasa hivi katika ya Zanzibar na Dar si yapo maboti yaendayo kwa kasi? Hivi ikijengwa barabara kati ya bara na visiwani volumu na speed ya watu na vitu inaweza hata kulinganishwa na hali iliyopo sasa? Kweli mnafikiria Uchumi wa Zanzibar utakuwa ulivyo tena?

Jibu lako kwa kweli linawakilisha fikra za watawala wetu walioshindwa.
 
Yaani nimependa jibu lako hadi nimecheka moyoni; kwa hiyo mtaanza kujenga daraja mkisha kuwa na tatizo na usafiri wa majini na wa ndege. Hadi msongamano wa magari utokee ndio mnafikiria kupanua barabara, hadi kina mama walale sakafuni baada ya kujifungua ndio mnafikiria kuongeza vyumba na huduma Temeke? Hadi watoto walundikane kwenye mashule ndio shule za kata zinapokuja, na hizo shule hadi hivi sasa zijae matatizo ndio watu wataanza kutafuta suluhisho. Hadi majumba yajengwe ovyo bila kufuata taratibu ndio magenius wetu waanze kuja na kampeni ya bomoa bomoa. Of course hakuna tatizo la usafiri sasa hivi katika ya Zanzibar na Dar si yapo maboti yaendayo kwa kasi? Hivi ikijengwa barabara kati ya bara na visiwani volumu na speed ya watu na vitu inaweza hata kulinganishwa na hali iliyopo sasa? Kweli mnafikiria Uchumi wa Zanzibar utakuwa ulivyo tena?

CCM - being reactionary manifested itself in the Katiba issue, bandwagoning as usual... and more recently in the posho conundrum!! Kujivua magamba being the infamous reactionary move by CCM following long enchanted calls by followers and wananchi at large for their ever-so-loved party to change. Now, you tell me if they will of one day be visionaries...nada!!! For The Minority Report is a movie banned under CCM!!
 
nina uhakika serikali ikisema tushughulikie ili wazo.. hiyo bajeti! itazidi fedha ya daraja hilo la china.....

i hate CCM
 
Inawezekana kabisa ingawa gharama inaweza kuwa kubwa kuliko ya hilo la kichina.kwan tutaimport vitendea kazi kuanzia msumari,.....Kuhusu swala la sela na usimamizi, tunahitaji uongozi tofauti kabisa na huu tulionao kwa sasa kufanikisha miradi kama hiyo.
 
Mwanakijiji tufanye hilo daraja kama ni bidhaa, kwa hiyo sisi tunaweka Tenda ya kulileta hapa nchini kwetu. sasa mchakato wenyewe utakavyokuwa + TRA waingie, Ticts nao, bandarini plus cha juu, sia litafika hapa na kuanza kujengwa kwa kiasi gani?
 
Hahahaha

Serikali imeshindwa kutengeza daraja la kigamboni iweze la kuunganisha na zanzibar ? Seriaki imeshindwa kuwapa umeme wa uhakika iweze daraja ? Serikali imeshindw akukupa sehemu ya kulala na elimu bure,afya ijenge daraja kwa misingi ipi ?

Hivi zanzibar na wazanzibari wenyewe tupo katika kujipapatua,ikiwezekana muungano tunauvunja,hatutaki hasa kuungani na nyinyi kwa sababu hamuna nia njema kama vile walivyokubwalina viongozi wetu karume na nyerere walipounganisha mataifa haya mawili tanganyika na zanzibar.

Kwa hiyo tumeshuhudia sasa hivi vingozi wenu wanaikandamamiza zanzibar kiuchumi,pia hata kuizalilisha zanzbar na watu wake,sisi wazanzbar tumeuchuikia muungano,nafikiri muandishi jenga hoja kujengwa rail za kisasa kuwanganisha mikoa yenu, pamoja na taraja la kigamboni.


yakhe unataka daraja la znz hadi OMAN nini...?! maana nyie wa znz Diaspora mnatamani muarabu arudi kama kesho awatawale ... haha! mnamawazo ya kitumwa sana seriously! hadi kichefuchefu mnavyowaona miungu waarabu.. tanganyika tunamlinda muungano hautovunjika wa znz bar weusi hawapo radhi kuwa watumwa waarabu
 
CHINA.. inaendelea kuleta mabadaliko ya ujenzi..toka..GREAT WALL..sasa hili daraja..
..Tanzania sidhani km tunaweza kuthubutu kufanya hivyo..na ile mito yao ilivyopitishwa kwenye miji..we Tanzania tunasubiri bana
 
CHINA.. inaendelea kuleta mabadaliko ya ujenzi..toka..GREAT WALL..sasa hili daraja..
..Tanzania sidhani km tunaweza kuthubutu kufanya hivyo..na ile mito yao ilivyopitishwa kwenye miji..we Tanzania tunasubiri bana

wa tanzania tunamawazo kwamba kila kitu cha mchina ni feki... na kila kitu cha mzungu oroginal... hahaha! wabongo bana
 
Bila ya shaka utakuwa umesikia leo taarifa ya lile daraja refu zaidi kupita bahari limefunguliwa
Daraja refu zaidi kupita bahari gani? Unaandika kama Prof. Shayo na blog la michuzi, hebu usishushe viwango hapa please.

Agenda zako za "kuunganisha Zanzibar na Bara utasaidia ... kuusogeza ule udugu wa damu kati yetu" mwisho wake ni Katiba mpya, Muungano tunauvunja, Wazanzibari hawautaki, Bara hatuutaki, hauna mshiko, period. Kizazi cha kubugia kila anachoanzisha Nyerere kimepita. Kizazi cha zidumu fikra za Mwenyekiti wa chama, those days are long gone!
 
Ni wazo zuri lililochambuliwa kwa makini lakini nadhani siyo la lazima sana katika mazingira ya leo. Kwa maoni yangu nadhani tungejenga tunnels pana za kuunganisha visiwa hivi badala ya madaraja hasa kwa vile madaraja yanaweza kukatizwa na majambazi wa majini (pirates) na kusababisha usumbufu kwa watumiaji.

Hili la wachina ni kwa sababu tu ya kutaka kuwapiku wabaya wao wa asili, yaani wajapani, amabo wanajulikana kwa kuunganisha visiwa vyao kwa madaraja. Walifanya hivyo kwenye bullet train, na sasa wamekamilisha kwenye madaraja. Bado wanashughulikia kwenye utengenezaji wa magari kusudi waje waipiku Honda na Toyota pia
 
Nakumbuka wazo hili liliwahi kutolewa na mgombea urais sikumbuki kutoka chama gani UPDP? alikuwa anasema akichaguliwa kuwa rais atajenga daraja kuunganisha Bagamoyo na Zanzibar lakini alibezwa sana akaonekana yeye na chama chake wanafanya mzaha.
 
Back
Top Bottom