Zanzibar is number one duniani as most corrupt inatia kichefuchefu...

Pharaoh

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
843
157
FIKA ZANZIBAR UONE RUSHWA POPOTE NA MBAYA ZAIDI INAAMBATANA NA UBABE WA KIJINGA.
Natoa mifano michache tu, Airport kabla hujaingia ndani yupo mlanguni mzee mweupe mvaa kofia kama ustaadh vile, atakuuliza mambo kibao yahusuyo Afya halafu mara atakwambia ukae pembeni karibu na kijikona kwa upande wa kushoto, akikuingiza kwenye kakona hako lazima akutoe chochote la sivyo atakusumbua utakesha airport...
Ukitoka hapo kupewa begi lako lazima unyooshe mkono, mabegi yanajazana na wa kutoa haraka ndio wa kupewa mwanzo wengi mtasaga meno na joto la hapo mpaka mwisho.....
Ukipewa begi hapohapo unavutwa pembeni wa wapakuaji kwa kizingizio cha vitu haramu, hapo ndipo pagumu, watakuingiza kwenye chumba chao na wapo polisi pia, watafungua na kukuvurugia vitu vyote na kuvitoa nje ya mabegi kabla ya kuanza kukuhoji na hapo usije ukanuna umekwisha manake wa njama na polisi wa airport mi nimeshuhudia kijana mwanafunzi wa mzanzibari aliyerudi toka india akilia kama mtoto mimi nilizama mfukoni haraka na sijajifanya najua.
Kabla hujafika mjini toka airport kuna uwezekano wa kuwakutana matrafiki mara 4, andaa bajeti ya kupita.
Ukifika mjini kuna wafanyakazi wa kamisheni ya utalii wakishirikiana na polisi hao wanamtafuta mtu yeyote mjini anaongea au kuongozana na mzungu, watakunyanyasa wewe vibaya ili huyo mzungu akukombowe kwa pesa na wanaanzia dola 500, watakusingizia unafanya kazi ya utembezaji wageni bila kibali (tour guide) hawasikii chochote manake wanakuja wameshanuna na lolote utakalosema watakujibu unanifundisha kazi? hata awe mkeo, girlfriend, business partner, marafiki wa zamani. itaendelea
 
FIKA ZANZIBAR UONE RUSHWA POPOTE NA MBAYA ZAIDI INAAMBATANA NA UBABE WA KIJINGA.
Natoa mifano michache tu, Airport kabla hujaingia ndani yupo mlanguni mzee mweupe mvaa kofia kama ustaadh vile, atakuuliza mambo kibao yahusuyo Afya halafu mara atakwambia ukae pembeni karibu na kijikona kwa upande wa kushoto, akikuingiza kwenye kakona hako lazima akutoe chochote la sivyo atakusumbua utakesha airport...
Ukitoka hapo kupewa begi lako lazima unyooshe mkono, mabegi yanajazana na wa kutoa haraka ndio wa kupewa mwanzo wengi mtasaga meno na joto la hapo mpaka mwisho.....
Ukipewa begi hapohapo unavutwa pembeni wa wapakuaji kwa kizingizio cha vitu haramu, hapo ndipo pagumu, watakuingiza kwenye chumba chao na wapo polisi pia, watafungua na kukuvurugia vitu vyote na kuvitoa nje ya mabegi kabla ya kuanza kukuhoji na hapo usije ukanuna umekwisha manake wa njama na polisi wa airport mi nimeshuhudia kijana mwanafunzi wa mzanzibari aliyerudi toka india akilia kama mtoto mimi nilizama mfukoni haraka na sijajifanya najua.
Kabla hujafika mjini toka airport kuna uwezekano wa kuwakutana matrafiki mara 4, andaa bajeti ya kupita.
Ukifika mjini kuna wafanyakazi wa kamisheni ya utalii wakishirikiana na polisi hao wanamtafuta mtu yeyote mjini anaongea au kuongozana na mzungu, watakunyanyasa wewe vibaya ili huyo mzungu akukombowe kwa pesa na wanaanzia dola 500, watakusingizia unafanya kazi ya utembezaji wageni bila kibali (tour guide) hawasikii chochote manake wanakuja wameshanuna na lolote utakalosema watakujibu unanifundisha kazi? hata awe mkeo, girlfriend, business partner, marafiki wa zamani. itaendelea

Namanga hayo hayo, bila cheti cha chanjo ya yellow fever balaa tupu sio mgeni sio raia wa jamhuri ya muungano ni ubabe tu. Chanjo elfu thelathini mpakani, my foot! Mnazi mmoja Zanzibar last time nimeta chanjo for FREE.
 
kwa hiyo unamaananisha kuwa TANGANYIKA hakuna rushwa ? hahahahahahah.Kuna siku nakumbuka nilikua dar kwa bahati nilikuta makochi ambayo niliyapenda sikuweza kusita ilibidi niyanunue tu.Lakini nilijuta roho nafsi yangu. Kutoka dukani hatimae barabarani trafic alitaka rushwa kufika bandarini nilizuiliwa kuingia nayo mpaka nilipe tax na niliwauliza naomba risti walinijibu ovyo hatua mbili jamaa mwengine na kavaa suti kali anataka pia nilipe tax na baadae karibu na geti kuna mlinzi wa kimasai kavaa nguo za kimasai alinizuia na mimi ilinibidi nirudi kule juu ofisini na walinijibu ovyo pia na kwa kuona mda unapotea boti inataka kuondoka ilibidi nae mmasai nimkatie kitu kidogo . Nilipofika nchini kwetu zanzibar sikutoa hata shilingi na isitoshe ukishuka boti dar lazima ukutane na vibaka bongo kuna kila aina ya wizi na pia mauaji sasa wewe kwanini hujaona la kwako useme la mwenzako.
 
Mamia ya nyumba zilizojengwa kando kando ya barabara ya Arusha-Namanga zimebomolewa kwa nguvu na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Arusha, chini ya ulinzi mkali wa askari wa jeshi la polisi waliokuwa wamebeba silaha nzito. Waandishi wa habari waliofika katika eneo la tukio, walishuhudia tingatinga kubwa likivunja vunja nyumba hizo huku makundi ya vijana ambao haikufahamika walikotoka wakiendesha uporaji wa mali katika nyumba za biashara na makazi na kukimbilia katika mashamba yaliyopo pembezoni mwa barabara hiyo.
 
Kama ndo ivyo Tz bara inanuka rushwa ila Zanzibar imeoza rushwa coz huko kuna mpango wa kuandaa baget ya hongo.
 
Mbona inaonekana kana kwamba tunaongelea mambo ya kimkoa! Zanzibar ni sehemu tu ya Tanzania kama vile Mwanza!
 
Mbona inaonekana kana kwamba tunaongelea mambo ya kimkoa! Zanzibar ni sehemu tu ya Tanzania kama vile Mwanza!
Mwanza huwezi ifananisha na Zanzibar.. Mwanza ipo Juu Sana Zanzibar kuifikia Mwanza inahitaji Miaka zaidi ya Mia..

Zanzibar (Unguja) waweza ifananisha kidogoo na Morogoro
 
Mwanza huwezi ifananisha na Zanzibar.. Mwanza ipo Juu Sana Zanzibar kuifikia Mwanza inahitaji Miaka zaidi ya Mia..

Zanzibar (Unguja) waweza ifananisha kidogoo na Morogoro
Na Mwanza hakuna mambo ya kiswahiliswahili
 
kwa hiyo unamaananisha kuwa TANGANYIKA hakuna rushwa ? hahahahahahah.Kuna siku nakumbuka nilikua dar kwa bahati nilikuta makochi ambayo niliyapenda sikuweza kusita ilibidi niyanunue tu.Lakini nilijuta roho nafsi yangu. Kutoka dukani hatimae barabarani trafic alitaka rushwa kufika bandarini nilizuiliwa kuingia nayo mpaka nilipe tax na niliwauliza naomba risti walinijibu ovyo hatua mbili jamaa mwengine na kavaa suti kali anataka pia nilipe tax na baadae karibu na geti kuna mlinzi wa kimasai kavaa nguo za kimasai alinizuia na mimi ilinibidi nirudi kule juu ofisini na walinijibu ovyo pia na kwa kuona mda unapotea boti inataka kuondoka ilibidi nae mmasai nimkatie kitu kidogo . Nilipofika nchini kwetu zanzibar sikutoa hata shilingi na isitoshe ukishuka boti dar lazima ukutane na vibaka bongo kuna kila aina ya wizi na pia mauaji sasa wewe kwanini hujaona la kwako useme la mwenzako.
Kwani kuna Mzanzibari analipa kodi au ushuru Zanzibar? si wanalipa wageni tu na wasiojulikana? mambo kimwinyimwinyi, hilo ni wazi kabisa,na ndio maana hawailipi hata tanesco, na serikali ya zanzibar bado inadaiwa mchele ilioliwa miaka ya 70 na 80, unaijua hiyo kesi ya Wa thailand? nyinyi hamlipishani chochote kweli kabsaa!
 
FIKA ZANZIBAR UONE RUSHWA POPOTE NA MBAYA ZAIDI INAAMBATANA NA UBABE WA KIJINGA.
Natoa mifano michache tu, Airport kabla hujaingia ndani yupo mlanguni mzee mweupe mvaa kofia kama ustaadh vile, atakuuliza mambo kibao yahusuyo Afya halafu mara atakwambia ukae pembeni karibu na kijikona kwa upande wa kushoto, akikuingiza kwenye kakona hako lazima akutoe chochote la sivyo atakusumbua utakesha airport...
Ukitoka hapo kupewa begi lako lazima unyooshe mkono, mabegi yanajazana na wa kutoa haraka ndio wa kupewa mwanzo wengi mtasaga meno na joto la hapo mpaka mwisho.....
Ukipewa begi hapohapo unavutwa pembeni wa wapakuaji kwa kizingizio cha vitu haramu, hapo ndipo pagumu, watakuingiza kwenye chumba chao na wapo polisi pia, watafungua na kukuvurugia vitu vyote na kuvitoa nje ya mabegi kabla ya kuanza kukuhoji na hapo usije ukanuna umekwisha manake wa njama na polisi wa airport mi nimeshuhudia kijana mwanafunzi wa mzanzibari aliyerudi toka india akilia kama mtoto mimi nilizama mfukoni haraka na sijajifanya najua.
Kabla hujafika mjini toka airport kuna uwezekano wa kuwakutana matrafiki mara 4, andaa bajeti ya kupita.
Ukifika mjini kuna wafanyakazi wa kamisheni ya utalii wakishirikiana na polisi hao wanamtafuta mtu yeyote mjini anaongea au kuongozana na mzungu, watakunyanyasa wewe vibaya ili huyo mzungu akukombowe kwa pesa na wanaanzia dola 500, watakusingizia unafanya kazi ya utembezaji wageni bila kibali (tour guide) hawasikii chochote manake wanakuja wameshanuna na lolote utakalosema watakujibu unanifundisha kazi? hata awe mkeo, girlfriend, business partner, marafiki wa zamani. itaendelea


Nashauri uende DRC, Cairo na Nigeria kabla hujajumuisha kuwa Zanzibar ni most corrupt.
 
Wewe mwandishi huna lolote ila chuki yako tu kwa Zanzibar,au ndo hujawahi kutoka nje ya Tanganyika??Usiropokwe tu bila ya kufanya uchunguzi,hiyo dunia unayosema wewe ni ipi? dunia ya Tanganyika??USHINDWE NA ULEGEE na kasumba zako za kipuuzi!!
 
Mi sijawahi kuona rushwa ZNZ.Nilichoshuhudia ni ukarimu uliopitiliza hadi kukera.

Ukarimu na "ubinadamu" wao unafanya hata kazi ziende ki yani yani , kwa maana hawajali muda wala nini.Ni hicho tu.Pia wanaridhika sana na mafanikio kidogo.Mfano, kwenye maduka utashangaa. Nisiseme mengi.
 
kwa hiyo unamaananisha kuwa TANGANYIKA hakuna rushwa ? hahahahahahah.Kuna siku nakumbuka nilikua dar kwa bahati nilikuta makochi ambayo niliyapenda sikuweza kusita ilibidi niyanunue tu.Lakini nilijuta roho nafsi yangu. Kutoka dukani hatimae barabarani trafic alitaka rushwa kufika bandarini nilizuiliwa kuingia nayo mpaka nilipe tax na niliwauliza naomba risti walinijibu ovyo hatua mbili jamaa mwengine na kavaa suti kali anataka pia nilipe tax na baadae karibu na geti kuna mlinzi wa kimasai kavaa nguo za kimasai alinizuia na mimi ilinibidi nirudi kule juu ofisini na walinijibu ovyo pia na kwa kuona mda unapotea boti inataka kuondoka ilibidi nae mmasai nimkatie kitu kidogo . Nilipofika nchini kwetu zanzibar sikutoa hata shilingi na isitoshe ukishuka boti dar lazima ukutane na vibaka bongo kuna kila aina ya wizi na pia mauaji sasa wewe kwanini hujaona la kwako useme la mwenzako.

ushamba wa jiji
 
wacheni longo longo hizo nchi yetu ya Tanganyika inajulikana na ulimwengu kuwa ni moja ya corruption country in the world baada ya Nigeria, Afghanstan, Tanganyika, Malawi n.k

Umesahau ile big issue ya Dowans nini?:A S 465:
 
Wafanyakazi wa julius Nyerere Airport wanatanua kwa ajili ya wa Zanzibari wanaoishi mtoni hawawezi kuingia Dar airport bila kutoa rushwa $100 na kutoka $300

Habari ndio hiyo:A S 465:
 
Namanga hayo hayo, bila cheti cha chanjo ya yellow fever balaa tupu sio mgeni sio raia wa jamhuri ya muungano ni ubabe tu. Chanjo elfu thelathini mpakani, my foot! Mnazi mmoja Zanzibar last time nimeta chanjo for FREE.

we namanga afadhali pita horohoro utaona mambo mi nilitaka kuiacha pasport wakaniuliza mbona unaiacha nikawajibu sina hiyo hela nikifika mosh nitachoma then nitakuja kuichukua afterall sitegemei kusafir 4 te nxt 2 yrs wakaniambia choma hapa utuwezeshe jamani nikasema sichom pasport kaen nayo! Mbona walinirudishia pasport na sikuchoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom