Zanzibar is gone

Jua linahusu nini, soma nyuzi yako ya Mwanzo.

Exact date ya kuanza Ramadhani ni kila tarehe 1-9- Al Hijr (tarehe Moja mwezi wa Ramadhan (tisa) wa kalenda ya Kiislaam "Hijr".

Tafadhali jibu swali. Ramadhani ni tarehe ngapi, na Eid El fitri ni tarehe ngapi?
 
Mkuu sio tetesi ni habari za uhakika kabisa,

Mgogoro uliopo sasa ni kuwa hata watetezi wa muungano zanzibar wanaogopa kujitokeza...

Sera za muungano za CCM huenda zitapelekea kushindwa vibaya znz kwa chaguzi zijazo!

Kwani CCM iliwahi kushinda huko? Hata huku nchi kuu hawawezi kuthibitisha kama walishinda urais.
Z'bar kujitenga huku nchi kuu tunasema AKUNYIMAYE KUNDE...
Nyerere alisema NJE YA MUUNGANO HAKUNA ZANZIBAR...hiyo Jamhuri ya Z'bar unayoishabikia haipo.
 
Tafadhali jibu swali. Ramadhani ni tarehe ngapi, na Eid El fitri ni tarehe ngapi?

Ramadhani ni kila tarehe 1-9- Al Hijr (tarehe Moja mwezi wa Ramadhan (tisa) wa kalenda ya Kiislaam "Hijr".

Eid El Fitr ni kila tarehe 1-10- Al Hijr (Tarehe Moja mwezi wa Shawwal (kumi) wa kalenda ya Kiislaam "Hijr".
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ndahani thats the only way forward bse Zenji ikijitenga iyo zambi itaendelea kutakuwa na ungua na pemba then yatakuwa makao ya makundi ya kihalifu duniani.As a result Tz hatutakaa kwa amani.
Nkupe siri kwenye huo mkakati USA anaweza tupa mpaka Combat kwa jinsi tulivyozoea mambo ya kwa hisani ya watu wa USA
 
Hivi kwanini wananchi hatujadiliani yanayo tokea kwa wananchi wa Zanzibar kujitoa katika muungano kwa kujiuliza nini hasa wanachokiona kibaya na kujitoa katika muungano.Na je watanganyika sisi tunauelewa gani kuhusu huu muungano jinsi ulivounganishwa na vipengele vyake ambavyo vinahusu au vimehusishwa katika muungano.Mimi nadhani tunatafsiri kile tunachokiona mbele yetu lakini kilivoundwa hatuangalii na ni muhimu kwetu sote.Kwanini upendelee upande mmoja wakati hujui upande wa pili unamatatizo gani.

Ndio kweli wapo wazanzibari wengi bara kibiashara na hata kumiliki majumba.
Ndio kweli wazanzibari wananunua ardhi bara lakini Zanzibar hairuhusu wabara kununua.

Huwezi kufananisha ardhi ya Zanzibar na ya kwetu bara kwasababu sisi tunayo ardhi kubwa sana na Zanzibar wana ardhi sehemu ndogo sana.Kwahio suala la kwanini sisi hatuwezi kuinunua ni kutokana na population yao inakua na kama watauza ardhi yao wajukuu zao wataishi wapi?

Ni sawa na huku kwetu mfano utakuja kuathiri vizazi vyetu kwa mfano wachimbaji wa madini wadogowadogo wanafukuzwa katika maeneo ya kutafuta riziki zao na wanaambiwa serikali imeuza kwa muekezaji na wao itabidi wasubiri mpaka watakapotafutiwa eneo.Sasa kama sio uonevu ni kitu gani?Watalisha nini familia zao,watasomesha vipi watoto wao,watajitibu vipi hospitalini akiwa anahitaji matibabu?Je wakiuza kila kitu mwananchi atafaidika na nini au wajukuu watafaidikaje?

Kuna mambo ya msingi ya kujadiliana kuliko kupigiana vijembe kama tupo kwenye majadiliano ya mpira.Tatizo wengi wetu tunajadili kibaguzi zaidi kuliko kutumia busara na hili nimeliona pande zote mbili.Kama kweli tunataka jambo zuri na la kheri basi tujiweke huru kimawazo na tuitafute sababu za kuungana na sababu za kujitoa.Kwasababu nimeshuhudia kama wengine hutumia propaganda za kidini na kuita watu magaidi kwasababu ya dini zao.Sio busara ya kuita uisilamu ni magaidi mimi nadhani ni urimbukeni ndio unatusumbua na tukiacha urimbukeni basi tutaweza kujifunza mengi kuhusu maisha ya mwanadamu na dini tofauti.

Sasa basi hebu tutafute elimu itakayo tujuza mengi kuhusu historia ya mapinduzi ya Zanzibar pamoja na muungano ulivounganishwa na mpaka kufikia hivi sasa tumo ndani ya muungano na kuutathmini kujua tumepanda nini na tunatarajia kuvuna nini?

Bila ya jazba tunaweza kujadiliana na kujenga hoja yenye mantiki zaidi kuliko kujenga hoja kwa kujifurahisha nafsi yako.
 
Dah!Jamani sisi watanganyika sijui NYERERE Katuroga au vipi manake tumekuwa hatuwezi kufikiri beyond Nyerere kila kitu Nyerere dah!Nyerere huyu ndiye aliejenga misingi mibovu ya uchumi na uongozi wa nchi hii Nyerere ndie Muuaji wa Tanganyika Jamani mbona sisi hivi?
Lakini kitu kinachotusumbua sisi hasa sisi wakristu ni udini ndugu zangu sisi wakristu ni wadini hebu angalia Hapa kila anaechangia amejaa mahasila ya udini anakuwa hawezi tena kufikiri anachojua yeye wazanzibari ni waislamu kwa iyo hatuwataki kwenye Muungano waache waende Dah! akili mbovu kabisa.
Watanganyika wenzangu hapa JF ni think tank hebu tufikiri zaidi Nyere alikuwepo tukubaliane alikuwa kiongozi muadilifu mchapakazi hodari na mtiifu lakini ni kwa wakati wake sasa ameenda na harudi tena so wakati wake umepitaa.Sasa tupo sisi tunafafaa tujiangalie tujadili mambo yetu na tuendeshe kwa wakati wetu na sisi tukiondoka watakao kuja wataamua waishije.Sisi hasa sisi wakristu kila kitu nyerere kasema mwalimu kasema,Mwalimu kasema mangapi hayakuwa?
Nilikuwa zanzibar Huko zanzibar wanasema mambo ya ubaguzi yameletwaa na Nyerere na wako na hoja za msingi na wakikueleza utakubaliana nao..Wazanzibari bana wana utani sana lakini hawana ubaguzi wa kidini sisi huku bala tunaubaguzi sana.
Ukristo bana umeaanzia zanzibar then Tnaganyika mahasira ya nini?SISI TUKIJADILI KITU UKRISTU MBELE HALAFU TUNAISHIA NYERERE KASEMA MBONA SISI VICHWA MAJIIIIIIIIIIIIIII?TUJIELEWE NA TUJILEKEBISHE.
TUJADILI MUUNGANO NA TUAMUE TUUVUNJE AU TUENDDELEEE NAO KWA MUUUNDO TUTAKOUCHAGUA.
 
Waasia ,wamalawi ,wakenya ,na wageni wanaishi hapa kwa wingi tena ni wafanyabiashara wakubwa wako na majumba na maarhi je tuko na muungano na nchi zao hebu tuache ujinga!
Au mnataka kutuambia kuna muungano wa tanganyika na india ndio wahindi wakajaa hapa mpaka bungeni wapo,watu wametoka india wameloea na kuzaliana hapa itakuwa zanzibar hapo kalibu hata ingelikuwa hakuna muungano wazanzibari wangelijaa hapa na wangelioa na kuolewa pengine kuliko saivi huwo ndio mfumo wa dunia ulivo hebu tuacheni ujinga wasomi wa udsm????????????!!!!!!!!!!!!!!nilikuwa london nimekutana na wazanzibari ambao ni raia wa uk wanapata fursa zote za kiraia mnataka kutuambia kuna m,uungano wa uk na zanzibar?????????????????????tuache ujinga tujadili kiuchambuzi mambo yetu
 
Ramadhani ni kila tarehe 1-9- Al Hijr (tarehe Moja mwezi wa Ramadhan (tisa) wa kalenda ya Kiislaam "Hijr".

Eid El Fitr ni kila tarehe 1-10- Al Hijr (Tarehe Moja mwezi wa Shawwal (kumi) wa kalenda ya Kiislaam "Hijr".

Still, unaweza kuniambia tuna siku ngapi exactly zimebakia kuanzia sasa hadi ramadhani ianze, au eid el-fitri? Na kama kweli inajulikana kama ambavyo umeandika hapo juu, kwa nini kila mwaka tunakuwa na makundi mawili ya waislam kila moja likisheherekea eid-el-fitri siku yake? wanatumia calendar gani?
 
Still, unaweza kuniambia tuna siku ngapi exactly zimebakia kuanzia sasa hadi ramadhani ianze, au eid el-fitri? Na kama kweli inajulikana kama ambavyo umeandika hapo juu, kwa nini kila mwaka tunakuwa na makundi mawili ya waislam kila moja likisheherekea eid-el-fitri siku yake? wanatumia calendar gani?

Sasa unahangaika hangaika nini? si uliuliza kuhusu tarehe ya Ramadhan na Eid ul Fitr? kwa kukusaidia zaidi:

What is Islamic Calendar The Islamic calendar is based on lunar months, which begin when a thin new crescent Moon is sighted in the western sky after sunset within a day or so after the New Moon. Hence, the month is either 29 days or 30 days. There are 12 months in Islamic year, which is either 354 days long or 355 days long, compared to (Gregorian) calendar year of 365 or 366 days. Since the Islamic Lunar year has 12 lunar months, it is on an average, 11 days shorter than the (Gregorian) year, and the Islamic year shifts earlier in each Gregorian year by about 11 days. The 12 months of the Islamic calendar are:
1. Muharram2. Safar3. Rabi' al-Awwal
4. Rabi' al-Thaani 5. Jumada al-Oola 6. Jumada al-Thania
7. Rajab8. Sha'ban9. Ramadan
10. Shawwal11. Dhu al-Qi'dah12. Dhu al-Hijjah
The Islamic (Hijri) calendar year is usually abbreviated A.H. in Western languages from the latinized "Anno Hegirae" or more commonly known as "After Hijrah."

Soma zaidi: Islamic Lunar Calendar
 
Sasa unahangaika hangaika nini? si uliuliza kuhusu tarehe ya Ramadhan na Eid ul Fitr? kwa kukusaidia zaidi:

What is Islamic Calendar The Islamic calendar is based on lunar months, which begin when a thin new crescent Moon is sighted in the western sky after sunset within a day or so after the New Moon. Hence, the month is either 29 days or 30 days. There are 12 months in Islamic year, which is either 354 days long or 355 days long, compared to (Gregorian) calendar year of 365 or 366 days. Since the Islamic Lunar year has 12 lunar months, it is on an average, 11 days shorter than the (Gregorian) year, and the Islamic year shifts earlier in each Gregorian year by about 11 days. The 12 months of the Islamic calendar are:
1. Muharram
2. Safar
3. Rabi' al-Awwal
4. Rabi' al-Thaani
5. Jumada al-Oola
6. Jumada al-Thania
7. Rajab
8. Sha'ban
9. Ramadan
10. Shawwal
11. Dhu al-Qi'dah
12. Dhu al-Hijjah
The Islamic (Hijri) calendar year is usually abbreviated A.H. in Western languages from the latinized "Anno Hegirae" or more commonly known as "After Hijrah."

Soma zaidi: Islamic Lunar Calendar

zomba, ama unajuwa unachokwepa au hutaki kuelewa ninachouliza. Sasa pamoja na literature yako naomba uangalie hapo kwenye red. moon-sighting! huu mtindo wa moon-sighting ulitumika sana kipindi cha ujima (fact). Then rudi kwenye hoja yako ya msingi kuhusu mabadiliko yaliyoletwa na uislama.

Now, swali langu, based on your theory,uislam ulibadilisha nini kwenye calendar, moon-sighting for a genetically modified moon-sighting? Na kama theory yako is correct kwanini kuwe na dates tofauti kwa waislam wakati wa Eid? Kwa nini kundi moja lisheherekee Eid siku tofauti na kundi jingine -ndani ya nchi moja? I want you to think logically using whatever literature you can get hold off.

Na kukurahishia, naweza kukumbia x'mas ni tarehe 25 December. Nina uhakika na hili 100%. mwezi uonekane ama usionekane but 25 December najua ni ubwabwa. Na kwenye calenda utaona. Lakini ikija eid au ramadhan lazima kuna alama ya * meaning - depending kuonekana kwa moon! 2012!!!
 
zomba, ama unajuwa unachokwepa au hutaki kuelewa ninachouliza. Sasa pamoja na literature yako naomba uangalie hapo kwenye red. moon-sighting! huu mtindo wa moon-sighting ulitumika sana kipindi cha ujima (fact). Then rudi kwenye hoja yako ya msingi kuhusu mabadiliko yaliyoletwa na uislama.

Now, swali langu, based on your theory,uislam ulibadilisha nini kwenye calendar, moon-sighting for a genetically modified moon-sighting? Na kama theory yako is correct kwanini kuwe na dates tofauti kwa waislam wakati wa Eid? Kwa nini kundi moja lisheherekee Eid siku tofauti na kundi jingine -ndani ya nchi moja? I want you to think logically using whatever literature you can get hold off.

Na kukurahishia, naweza kukumbia x'mas ni tarehe 25 December. Nina uhakika na hili 100%. mwezi uonekane ama usionekane but 25 December najua ni ubwabwa. Na kwenye calenda utaona. Lakini ikija eid au ramadhan lazima kuna alama ya * meaning - depending kuonekana kwa moon! 2012!!!

Kitu kidogo sana hicho nadhani hujapitia link niliyokuwekea na kusoma zaidi, kwa kifupi, Calendar ya Kiislaam haihitaji kuwa adjusted baada ya kila miaka kadhaa "Moon-birth is the only thing which can be calculated with much accuracy", kama ilivyo calendar ya Gregorian, ambayo hata kuanza kwake ilikuwa ni kurekebisha makosa yaliyokuwepo katika "Julian Calendar" mnamo mwaka 1582:

"In the Middle Ages, the study of the measure of time was first viewed as prying too deeply into God's own affairs – and later thought of as a lowly, mechanical study, unworthy of serious contemplation." The calendar we use today is the Gregorian Calendar, firstintroduced by Pope Gregory XIII in a papal bull ("a formal proclamation issued by the pope usually written in antiquated characters and sealed with a leaden bulla") in 1582. The reason for the change was to correct an error in the Julian calendar (Caesar's calendar). The error had apparently been accruing over hundreds of years and, as result the calendar was out of sync with the equinoxes and solstices by an extra day.

Source: Gregorian calendar adjustment corrected error in the Julian Calendar | SpittalStreet.com

Nakuomba soma zaidi hizo links, ili upate kuelewa kuwa Hijri calendar iko more accurate kuliko Gregorian Calendar.

Kupishana kwa watu kufunga au kufunguwa ni "school of thoughts" tu lakini haibadilishi mwandamo wa mwezi mpya. Kuna "school of thought" inayosema mwezi mpya ukionekana popote duniani watu wafunge au wafunguwe na kuna "school of thought" inayosema mpaka muuone pale mlipo au zitimie siku 30 kamili kama hali ya hewa ya hapo hairuhusu mwezi kuonekana. Utaona kuwa haya si malumbano ya kuwa mwezi unatoka lini, bali ni wapi utapoonekana tuufate. Ukitazama sana hiyo ni moja ya changa moto za watu kuzidi kufanya research na kupata elimu ya hali ya juu.

Kumbuka, kuwa Uislaam umechangia fani ya astronomy na navigation kwa kutumia nyota kwa kiwango cha juu sana, Jee umejiuliza ni kwanini watu wanaoijuwa astronomy zaidi ya wengi wawe wanatumia calendar ya mwezi? Fikiri.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kwanza Zanzibar hawana Utamaduni wao; Utamaduni wao ni kwa kiarabu toka Oman

Wengi waliokwenda huko kama Watumwa na kubaki kama wananchi Walipochukua Dini ya kiislamu; na Tamaduni zao

Zilipotea; Wakautwaa Uislamu... Maalim Seif alikuwa kilioni ana nyumba Bara, Wanadhani Wakivunja huo Muungano bado

Watakuja Bara kama kwao? Waache Wafanye watakavyo... Ni wakati Mzuri... Rais wa Muungano ni Muislamu. Waziri wa

Ulinzi Muislamu.

* Na hapo hao Wanajeshi wa Zanzibar kutolipwa Waziri wa Ulinzi kwa Miaka 10 ni Mzanzibari; Mtoto wa Mwinyi kwanini wasipeleke

Matatizo yao kwake; Haya Sasa Hivi Waziri wa Ulinzi ni Mzanzibari tena, kwanini wasiende kumuona? au ni Uvivu na kupenda kukaa

barazani na kulalama?
nguu007 wewe unaparamia tu hujui historia ya zanzibar...watu wa zanziabr hawajawahi kuwa watumwa wa mtu yoyote..si mmakunduchi, si mtumbatu si mdonde si mpemba walokuwa watumwa.ama walifanywa watumwa...ila zanziabr kilikua ni kituo cha biashara ya watumwa walio toka bara ya tanganyika ndio walio kuwa wakiletwaa zanziabr kama watumwa....wazanzibar hawajahi kuwa watumwa...go back to your teacher !!!
na pia waulize vizuri walimu wako ..uislam zanzibar umeingia miaka ndani ya miaka ya mwanzo ya uislam baada ya Mtume.
msikiti wa mwanzo ambao upo katika historia umejengwa kizimkazi unguja miaka 500 tu baada ya kuja Mtume Muhhamd.
na watu wa zanzibar hawafati utamaduni wa kioman..wala waraabu...labda wewe unaona uislam ni u-oman hujui tofauti.
nikufundishe kidogo.ndani ya uislam kuna madhehebu mbali mbali.lakini makubwa ni 2 yaani sunni na shia.watu wa zanziabr kwa umoja wao ni sunni,mashia wapo kidogo ni kina Raza na jamii ya khoja, suni ndio majority wamo wa asili zote waarabu waasia na washirazi na wafrika kutoka bongo.
ama watu wa oman madhehebu yao ni ibadhi..kuna msikiti wao pale mosque street dar es salaam.hawa ni kutoka oman..na walipo kuja hawa zanzibar walikuta wazanzibar tayari ni waislam.na uislam zanzibar umeletwa moja kwa moja kutoka hejaz, ama saudi arabia ya sasa hivyo usipayuke kusema usiyo yajua....ama porojo za uongo mnao pigwa huko makanisani..
zanziabr wana ustaarab wao wana jijua ndio maana wanataka wajitoe na muungano kwani walikosea kujiunga na watu ambao wana utamaduni tofaut na wao ,ni nchi zenye ustaarab tofauti, ni makosa ya kihistoria ambayo vijana wanataka kuyarekebisha.
ama kuhusu mwinyi nime sema wazi humu kuwa yeye sio mzanzibar na amepata urais wa kule kwa matakwa ya watu wa tanganyika na ni moja ya kero na hadaa ya huu muungano
ila kama wewe akili yako kila alie muislam ni mzanzibari basi hapo ntashindwa kukusaidia
 
zomba, natoka nje ya mada kidogo. Hapo kwenye red: Unaweza kuniambia ni kwa nini karne ya leo bado watu wanaangalia mwezi ili kujua siku ya sherehe imefika au la! Kiliondolewa nini na kuwa replaced na nini maana mambo ya kuangalia jua ya ujima?

fjm..kuweka tarehe kwa kuangalia mwezi ndio unapata hesabu kamili ya mwaka....si tunaita mwezi? Na mwezi huu si ndio ikiwa imetimia 12 ndio mwaka? Sasa presha iko wapi? Ni hesabu za uhakika ...mwezi mmoja unapatika baada ya siku 30 ama 29 tu..na si zaidi yapo...hesabu za kizungu ni fixed 365 days ...na hizi calendars ni moja ya tamaduni duniani..lakini zote zikiwa na lengo moja tu ..kupata umri,muda,nakumbukumbu za nyakati.
Wachina wana calenda yao, wa iran wana calanda yao,greeks nao pia walikua nayo lakini ndio hii imekuwa ya kizungu., eithiopia wana calenda yao, na wayahudi wana calenda yao..hili si la kusema yetu ya computer na yenu ya ni manual ...hasara ni wale wasiokuwa na kalenda ila wana fata za wengine...
Ama kuhusu utofauti wa tarehe ya idd na ramadhani hiii inatokana na tafsiri tofauti kutoka kwa wanazuoni wa kislam..wapo wanaosema iwe hivi na wengine wanasema iwe vile ..hii ni ihtlafu katika elimu ya watu.
Ila mambo haya kwa upande wa waislam yameanza kwenye miaka ya 70 baada ya kuenea kwa mawasiliano..hii ni hoja kila upande unayo points zake..muhimu mwezi wa kiislam ni mmoja tofauti inakuwa kwenye tarahe labda mmoja yupo mbele na mwengine nyuma ...haya ya kibinaaadam
na ama mambo haya ya tarehe yapo hata katika ukristo..wapo wana sema kazaliwa 24th dec, na wapo wa 25 th dec.
Wapo wanao sherhekea pasaka tarehe maaalum lakini wengine pasaka kila mwaka tarehe tofauti..haya ya kawaida sio issue ...
 
tuheshimu maamuzi yo wakiamua kujitenga,nadhani itakuwa chachu ya maendeleo kwa kila mmoja"mzanzibari&mtanzania bara"
 
nguu007 wewe unaparamia tu hujui historia ya zanzibar...watu wa zanziabr hawajawahi kuwa watumwa wa mtu yoyote..si mmakunduchi, si mtumbatu si mdonde si mpemba walokuwa watumwa.ama walifanywa watumwa...ila zanziabr kilikua ni kituo cha biashara ya watumwa walio toka bara ya tanganyika ndio walio kuwa wakiletwaa zanziabr kama watumwa....wazanzibar hawajahi kuwa watumwa...go back to your teacher !!!
na pia waulize vizuri walimu wako ..uislam zanzibar umeingia miaka ndani ya miaka ya mwanzo ya uislam baada ya Mtume.
msikiti wa mwanzo ambao upo katika historia umejengwa kizimkazi unguja miaka 500 tu baada ya kuja Mtume Muhhamd.
na watu wa zanzibar hawafati utamaduni wa kioman..wala waraabu...labda wewe unaona uislam ni u-oman hujui tofauti.
nikufundishe kidogo.ndani ya uislam kuna madhehebu mbali mbali.lakini makubwa ni 2 yaani sunni na shia.watu wa zanziabr kwa umoja wao ni sunni,mashia wapo kidogo ni kina Raza na jamii ya khoja, suni ndio majority wamo wa asili zote waarabu waasia na washirazi na wafrika kutoka bongo.
ama watu wa oman madhehebu yao ni ibadhi..kuna msikiti wao pale mosque street dar es salaam.hawa ni kutoka oman..na walipo kuja hawa zanzibar walikuta wazanzibar tayari ni waislam.na uislam zanzibar umeletwa moja kwa moja kutoka hejaz, ama saudi arabia ya sasa hivyo usipayuke kusema usiyo yajua....ama porojo za uongo mnao pigwa huko makanisani..
zanziabr wana ustaarab wao wana jijua ndio maana wanataka wajitoe na muungano kwani walikosea kujiunga na watu ambao wana utamaduni tofaut na wao ,ni nchi zenye ustaarab tofauti, ni makosa ya kihistoria ambayo vijana wanataka kuyarekebisha.
ama kuhusu mwinyi nime sema wazi humu kuwa yeye sio mzanzibar na amepata urais wa kule kwa matakwa ya watu wa tanganyika na ni moja ya kero na hadaa ya huu muungano
ila kama wewe akili yako kila alie muislam ni mzanzibari basi hapo ntashindwa kukusaidia

Rais Mstaafu Mwinyi na ukoo wake; Rais Mstaafu Jumbe na Ukoo wake walitoka wapi? Sio waalimu natakiwa kuwauliza
 
Back
Top Bottom