I'm sure they are doing it just to piss off God...lol
Mimi nadhani pamoja na mila na dini zetu lakini haya maswala yapo sana tu na hatuwezi kuyazuia isipokuwa kkama yatatumika kwa bendera za imani hizo. Nikiwa na maana Muislaam akitaka kufunga ndoa kiislaam basi hairuhusiwi, Mkristu vile vile, akiwa mwanao mzee una haki ya kukaa ndoa hiyo na kumkana mwanao iwe kumpa radhi au kumfukuza lakini huwezi kuzuia jambo hili kwa sababu halina sheria ktk serikali yetu..sijui kama nakosea lakini ndio mtazamo wangu.
Mkuu hapa umeniacha nje! na nasema hivi kwa sababu hiyo controversy hukuiona mwanzo kutokana bado na imani yako iwe ya dini au mila ktk maumbile..Hakuna specific isipokuwa kwa vitabu vyetu ktk kuharamisha matumizi ya kimwili mbona watu wanakula sushi au wanapiga miswaki (mafumbo) sehemu ambayo matumizi yake ni specific kwa chakula/kunywa ndio kinatakiwa kipite ili upate shibe!. yet sii kosa kubwa kuyafanya hayo isipokuwa mtazamo wake unaingia ktk usanii wa mhusika na ni sifa kubwa kwa mcheza..Mkuu Bob,
Suala la vyakula na ushoga si sahihi kwa jinsi unavyolinganisha........matumizi ya maumbile ya kiumbe hai yako very very specific (no controversy.......kama ipo naomba nielimishe), hata nguruwe/mbwa/ng'ombe nk wanalielewa hilo.........kutoka kwa Muumba.
Suala la chakula (nyama) lina contraversy kulingana na imani ya mtu..........DON'T GET ME WRONG THOUGH........sina maana kuwa kila suala ambalo lina controversy basi kila mtu ajichukulie sheria yake.......maelezo yangu hayo ni kwa wale wenye kuamini kuwa Mungu yupo
Muslim clerics in Zanzibar have blocked a bid by two gay lovers to exchange marriage vows.
The discreet ceremony was stopped after reports reached members of the Zanzibar Imams' Propagation Association.
Police have arrested four imams who allegedly assaulted the couple. They have also launched investigations with a view to prosecuting the partners.
Zanzibar is a predominantly Muslim island, where acts of homosexuality are illegal and few people are openly gay.
One of the partners is from Mombasa in Kenya and another from the island of Pemba in the Zanzibar archipelago.
Petu Hapa,
Mkuu kusema kweli hili la sheria zetu zinakataza Homo sina habari nalo kwani sijawahi kusikia mtu akishtakiwa kwa kosa hilo labda tu wale wanaolawiti watoto wadogo. Ni swala ambalo nimeona wananchi hasa wa bara wakichukua hatua wenyewe kutokana na dini au mila..
nasikia huyu balozi mpya wa afrika majuu yumo kundini humo? GTajabu hamzungumzii ma lesbian waliojazana kule including viongozi wa serikali
this is the price you pay for uncontrolled mass tourism na romantization of Zanzibar