Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
Waingereza waliondosha majeshi yao kikiwemo kikosi maalumu cha Kiarishi ambacho kilikuwa kimewekwa karibu na uwanja wa gofu na mpaka wa Mji Mkongwe mapema mwaka 1963. Kipindi ilipopandishwa bendera ya Taifa huru la Zanzibar tarehe 12 Disemba 1963, huku kukiadhimishwa uondokaji wa Gavana wa kiingereza Zanzibar na mwisho wa ukoloni Zanzibar.
Na Taifa la Zanzibar lilikuwa mwanchana kamili wa Jumuia ya madola na mwanachana mpya wa Umoja wa Mataifa, mwaka huo 1963.
Je ni kwa nini hatusherehekei uhuru wa Zanzibar 12/Dec/1963 na dadala yake tunasherehekea mapinduzi ya mwaka 1964?
Na Taifa la Zanzibar lilikuwa mwanchana kamili wa Jumuia ya madola na mwanachana mpya wa Umoja wa Mataifa, mwaka huo 1963.
Je ni kwa nini hatusherehekei uhuru wa Zanzibar 12/Dec/1963 na dadala yake tunasherehekea mapinduzi ya mwaka 1964?