Didia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 719
- 258
Zanzibar ni Koloni letu na kamwe hatuwezi kuliachia, Tutaendelea kuitawala Zanzibara hata ikibidi Kimabavu
Subiri kwanza UN ipitishe tulizingire, kama Lethoto vile. Tatizo hatujabuni mbinu za kulinyonya hili koloni