NICK2275
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 3,931
- 918
Suluhu ya hili jambo ni serikali tatu tu! Hapo kitaeleweka nani anachangia nini kwenye muungano na kwa uwiano gani. Tofauti na hapo, muungano utalalamikiwa kila siku.
serikali tatu za nini?kama itakuwa si kushibisha watu tu
kila nchi inatakiwa ishike utaratibu wake,muungano ufe