Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,086
Mwisho wa malumbano haya ni kuona tatizo hili linatatuliwa na kila upanse uridhike na maamuzi yatakayochukuliwa,kama Zanzibar inataka kujitenga haina haja ya kulazimisha jambo hilo ni kuwapa kile ambacho wanataka,kuendelea kutaka kuuendeleza muungano wakati matatizo hayapati ufumbuzi ipo siku tutaangukia kwenye machafuko ambayo si ya lazima