Umoja wa mataifa unatambua haki ya kila nchi kujitawala yenyewe. Na hivi iwapo Zanzibar itapeleka mapendekezo yake, ni wazi yatatiliwa maanani. Lakini kwa hoja za demokrasia na style za diplomacy walizonazo UN, jambo hilo laweza kurudishwa nchini kwa ajili ya mchakato wa kidemokrasia. Wasipoangalia suala la muungano laweza kupigwa danadana na ccm kama lilivyo suala la katiba.
Nionavyo mimi kazi ni ndogo tu hapo! Zanzibar saidieni kukiweka madarakani chama cha upinzani huko bara na mwanga mtauona asubuhi na mapema maana sote tunajua huo ni muungano wa ccm! Bila kuiondoa ccm Zanzibar kujitenga ni ndoto. Bila kujali itikadi za vyama wala dini, ungeni mkono upinzani huko bara! Hiyo ndiyo dawa!
Nionavyo mimi kazi ni ndogo tu hapo! Zanzibar saidieni kukiweka madarakani chama cha upinzani huko bara na mwanga mtauona asubuhi na mapema maana sote tunajua huo ni muungano wa ccm! Bila kuiondoa ccm Zanzibar kujitenga ni ndoto. Bila kujali itikadi za vyama wala dini, ungeni mkono upinzani huko bara! Hiyo ndiyo dawa!