GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Kama sio uvamizi wa Tanganyika wangekuwa kama ulaya
Kama sio uvamizi wa Tanganyika wangekuwa kama ulaya
Sio kama ulaya kuliko ulaya,,,muungano ndio umeturejesha nyuma sana sana,,,ipo haja ya kuvunjwa....
Kwanini babaangu? Nyie ndio mliozuia Zanzibar wasiuwane na huko kwenu mkiuwana? Ni kichekesho kidogo au vipi?nyie watu,rudini kwanza huko kwenu kisiwani ndio mlilie kuvunjwa muungano,hapo mlipo mmewezeshwa na bara japo kidogo bado mnapiga kelele.ni bora hata mliingia muungano,vinginevyo huko kwenu kungekuwa kama mogadishu hivi sasa.:hatari: