Mpangilio na Mkao wa vile vidole anapofafanua jambo wan'tatiza na kun'tia shaka ..nways SFORZA Bichiboi..lol
wee una matatizo makubwa, haki iko wapi unayoitafuta
Matatizo yepi? Haki ipi?
matatizo na haki hizi hapa
https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/29466-avatar-ya-chamtumavi.html
Siwezi kukusaidia zaidi ndg..nimetumia haki yangu ya kikatiba na sheria za JF kusema ninachoona ni sahihi..kama una matatizo na hilo saga vyupa ukoroge mi ntakusaidia kukunyesha.
wewe ndio ukasage vyupa ukoroge unywe, unajifanya haki haki wakati hutaki wengine wa-exercise haki yao!!!
Nimekuzuia wapi usi-exercise haki yako mkubwa..mboni hatuelewani?
sasa kilichokupeleka huku https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/29466-avatar-ya-chamtumavi.html
ni nini kama sio kutaka kujipendekeza kwa Mods, watch out man/lady
Siwezi kukusaidia zaidi ndg..nimetumia haki yangu ya kikatiba na sheria za JF kusema ninachoona ni sahihi..kama una matatizo na hilo saga vyupa ukoroge mi ntakusaidia kukunyesha.
huo ni umbea
Umbea gani dada'ngu ^_^?
tafadhali naomba tuheshimiane. hunifahamu,sikufahamu. usiropoke ropoke tu kama mwehu, sasa dada yako nani?
zote njaa tu hizi..Kwani kuwa na dada ni kukosa heshime kikwenu.? BTW, Huwezi ukanilazimisha nikuheshimu wakati umeshaniita m'bea..au unataka na mimi nianze kunyesha mvua? Nipo tayari ..
zote njaa tu hizi..
kalale ukakue bwana mdogo.Sasa kama una njaa umeambiwa hapa wanagawa misosi...?