Zanzibar banknotes

banknotes000

New Member
Mar 26, 2010
2
0
Hello I am collector of banknotes from Europe and I am interested in buying old banknotes from Zanzibar...I am willing to pay good prices
If anybody has for sale, or know anybody who has them please let me know
my email banknotes000@yahoo.com
 
Hivi Zanzibar iliwahi kuwa na Bank Note.

Bwana Kabonde Zanzibar ilikuwa nchi inayojitegemea mpaka ilipomezwa na Tanganyika kuwa Tanzania.

Kwa hivyo ilikuwa na Serikali yake, mfumo wake wa fedha, na kila ambacho nchi ilipaswa kuwa nacho.
 
Bwana Kabonde Zanzibar ilikuwa nchi inayojitegemea mpaka ilipomezwa na Tanganyika kuwa Tanzania.

Kwa hivyo ilikuwa na Serikali yake, mfumo wake wa fedha, na kila ambacho nchi ilipaswa kuwa nacho.
Mi nilifikiria ni nchi mbili zimeungana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom