Zantel wamepandisha huduma zaidi ya 100%

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,444
Kampuni ya Zantel imepandisha huduma ya internet kutoka sh.50 kwa MB sasa imefika sh.120 kwa MB.
Sijajua wametumia vigezo vp kupandisha gharama kwa kiasi kikubwa nilivyo wapigia cmu wanadai serikali imeongeza gharama za uendeshaji...Hivi ni kweli hii?Mlio karibu na hawa watu tunaomba muwaulize sawa hatukatai ni bishara lakini kupandisha gharama kwa zaidi ya 100% mara nyingi kampuni ikisha pata wateja wengi ndo tabia yake kupandisha bei.
Wanadai wao ndo wenye bei chee hiyo ya 120 kwa MB kuliko kampuni nyingine mnao jua bei za makampuni mwengine naomba DATA.
Waangalie wanaweza wakawa wanawafukuza wateja tukahama kama tulivyo kimbia TTCL na tulivyo kimbia kwenye cmu za mkononi za ZANTEL huyu meneja wa masoko awe mbunifu kidogo.
Naomba mwenye uelewa wa kampuni inayo toza bei nafuu ya Internet anipe contact zake nihame ZANTEL kwani huu ni ufisadi wa hali ya juu itafika kipindi hata kuingia JF tutakuwa tunaingia kimachale kama gharama ndo hivi ni maumivu.
Napenda kuwakilisha.
 
Shukrani kwa kutuletea hizi habari. Niliposikia wameanza kupeleka huduma ya internet mikoani nikajua yep, the price is about to go up!

Let's hope kampuni nyingine zitaleta huduma hii kwa gharama nafuu. What is the progress on Submarine Cable Systems?





.
 
Lazydog kuanzia mwezi wa 11 - 12 utegemee mambo mapya manake kuna uhurunet , umojanet , baharinet yote haya ya kufanya wewe mawasiliano yako yawe nahisi na gharama za chini zaidi
 
Lazydog kuanzia mwezi wa 11 - 12 utegemee mambo mapya manake kuna uhurunet , umojanet , baharinet yote haya ya kufanya wewe mawasiliano yako yawe nahisi na gharama za chini zaidi


Hongera kaka, naona unafungua company TATU KWA MPIGO.

Vipi umeshapanga bei zake, kama vipi mwaga price list yake hapa.
 
Nilikuwa namwambia kuhusu mpango wa eassy cable hautaitwa jina hilo tena umepangwa vipengele na ndio hivyo hapo wameamua kutumia majina hayo kutokana na mchango mkubwa wa tanzania katika hiyo cable pia kutokana na lugha ya kiswahili
 
Utaratibu wa kuwatoza wateja wanaotumia internet kwa MB sio mzuri, hii ni naman moja ambayo makampuni haya yanawaibia wateja. Ni wakati sasa kwa watumiaji huduma kupinga suala la malipo kwa MB.

Nadhani makampuni haya inabidi yatoze gharama zao kwa mwezi kulingana na kasi ya mtandao mteja anayopatiwa. Hapa nina maana makampuni yanaweza kuweza viwango tofauti kwa kila kasi. Lakini gharama iwe ni flat rate kwa mwezi. Determinant ya gharama iwe ni kasi ya mtandao [amount of data per second (Kbps, Gbps etc)].
 
Utaratibu wa kuwatoza wateja wanaotumia internet kwa MB sio mzuri, hii ni naman moja ambayo makampuni haya yanawaibia wateja. Ni wakati sasa kwa watumiaji huduma kupinga suala la malipo kwa MB.

Nadhani makampuni haya inabidi yatoze gharama zao kwa mwezi kulingana na kasi ya mtandao mteja anayopatiwa. Hapa nina maana makampuni yanaweza kuweza viwango tofauti kwa kila kasi. Lakini gharama iwe ni flat rate kwa mwezi. Determinant ya gharama iwe ni kasi ya mtandao [amount of data per second (Kbps, Gbps etc)].



ISP wako naye ana service provider wake, na huko limitation ni amount transfered (unless it is not "Internet via satellite" - huduma ambayo bado hatujawa nayo Bongo). Kuna service providers wasiokuwa na hiyo limitation kwa mteja ila speed ni ndogo kiasi kwamba hata uki-download day and night hutaweza ku-abuse limit ambayo yeye hatakiwi kuvuka.

Mimi hapo nitachagua kulipia per MB.



...Ongoing regional undersea cable initiatives such as EASSy (Eastern Africa Submarine Cable System), TEAMS (The East African Marine System), SEACOM, and UHURUNET are expected to address the bandwidth constraint by end of 2009.

By 2010 kutakuwa na afadhali hasa kwa wanaoishi mijini.



.
 
Back
Top Bottom