Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Unlimited mbona zipo mjini. Kuna ISPs wengi mjini wanauza unlimited downloads/uploads na huja na Dedicated speeds kulingana na budget yako.
Mfano:
Ninatumia ~2GB/Day. Speed yangu ni dedicated (meaning its not shared with other customers). Youtube, ninaangalia vizuri tuu. Lakini nipo kwenye corporate plan = i.e. More $||TZS zaidi ya > 110,000/month.
Sasa kwasababu sio kila mtu ni malaika. Wengine wakipata unlimited basi wanataka kudownload internet nzima siku hiyo hiyo.. Wengine movies ili wakauze , wenginee...(wacha nikianza sitamaliza)..etc etc. Sasa kama unashare speed na huyo jamaa basi wateja wengine wanaumia. Kwahiyo , its only fair yeye alipe zaidi ili apewe link yake mwenyewe na haki yake (kudownload anavyotaka).
Kwa ufupi ukitaka unlimited utapata....swali ni, What's your budget ?
B.P (2010)
Hapo ndio tatizo , mara corporate plan , mara dedicated line , mara ur budget kwa nini kitu kisiwe clear unaposema Unlimited ? .TTCL wana Unlimited ila speed ni ndogo kuliko ile ya wanao lipia kwa bundles.
Sijakuelewa hapo unapo sema 2GB/Day una maan gani , yani 2GB a day? hizo hainitoshi ,nina vitu vingi zaidi kwnye net naangalia ziadi ya kusoma email na ku chat. Mimi huw an ngalia zaidi videos za News , shows n videos , kwa plan ya 2GB a day hainitoshi kabisa.