Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
Nawapongeza kampuni ya zantel kwa hatua mlio ifikia mpaka mkatufanya turudishe modem zetu zilizokuwa kabatini. Jamani Raha.Natumia modem CDMA 200 ni bombaView attachment Fri May 11 15-39-01.bmp
unaposema 3 days unlimited unamaanisha nini?
Anamaanisha kwa malipo ya Tsh. 5,000/= within 3 days unapata access ya net bila limitations interms of speed as well as amount of data. Nimeijaribu, ni kweli wanamaanisha unlimited.
Kama ni kweli, they are so cheap. Ina maana kwa mwezi utalipa 50,000/= na utapata unlimited downloads. Nijuwavyo mimi hawa jamaa bundle ya juu kabisa ni sh. 140,000 (Platinum) ambayo unapata 25GB kwa miezi miwili (70,000/= kwa mwezi na unapata kama 12.5GB) au ya chini yake kidogo ni Gold ya sh 90,000/= ambayo unapata 14GB kwa siku 45 (inamaana 60,0000/= kwa mwezi na wanakupa kama GB 9.3+). sasa kwanini nilipe 140,000/= ili kupata 25GB wakati nikiwa nalipa kila baada ya siku tatu nakuwa na uhuru zaidi na nalipa gharama ndogo? lazima kuna mahali watakuwa wanawabana kinamna. wenye uzoefu nayo mtujuze vizuri ili nasi tuweze kupunguza machungu ya mfumuko wa bei.Anamaanisha kwa malipo ya Tsh. 5,000/= within 3 days unapata access ya net bila limitations interms of speed as well as amount of data. Nimeijaribu, ni kweli wanamaanisha unlimited.