S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Yebo Yebo,
Haturudi ng'o hata mtufunge kamba. Tutaendelea kufaidi pesa zetu Ulaya kwi kwi kwi!!!
Wanatakiwa watumie power of percussion and not power of coercion.
Watuache tuendelee kubeba mabox yetu.
Uzuri wa ulaya siku hizi hata ukizeeka ukipelekwa nursing home unahudumiwa na wabongo wenzako...mambo poa kabisa.. kwa nini mtu usijisikie upo nyumbani..!!!