Hana hoja anastate fact za darasa la kwanza anafurahia tanzania kuwa kwenye plan ya G8 hajui ni kama kufahi mtt wako akiwa icu. Kweli ccm imekwisha its impossible to develop if this is type of MP
hayo ni maono yako! ulipaswa kuyatoa kwa lengo la kujenga na si kulihusisha na chama, pili nakubali kuwa watu wenye fikra mgando kama wenye mawazo yako mpo wengi na wakati mwingine mnaweza hata kuligharimu taifa?
Hana hoja anastate fact za darasa la kwanza anafurahia tanzania kuwa kwenye plan ya G8 hajui ni kama kufahi mtt wako akiwa icu. Kweli ccm imekwisha its impossible to develop if this is type of MP
Sijui unamjibu nani ila wacha nikupe yako makavu mapema kabla hujaenda kulala mkuu.
NI SISI CCM TULIOWAPITISHA HATA AKINA MAJI MAREFU KWENDA BUNGENI, NI SISI TULIWAPATIA AKINA ZAINAB NAFASI HIZO....UNAKUMBUKA AKINA MO DEWJI,ABOOD WALINYIMWA KUGOMBEA UBUNGE MARA NGAPI LICHA YA KUSHINDA MAONI? NI CCM ILISEMA HAPANA KWA HAWA JAMAA WHY NOT HAWA VITI MAALUM AMBAO HAWAKISAIDII CHAMA ZAIDI KULETA CONTRADICTIONS KILA KUKICHA DHIDI YA CCM? KUMBUKA PALE KUNA MECHANISM ZOTE ZA KU SCREEN WAGOMBEA KWANINI NYENZO HIZO HAZITUMIKI ? WE NEED TO CHANGE NA UACHE MENTALITY YA KINAFIKI WAKATI WAIJUA KUJIKOSOA NI FALSAFA YETU CCM ..DAIMA DUMU?
Licha ya uana ccm yangu nalazimika kusema screening yetu wa wabunge especially viti maalum imezaa wapumbavu wengi sana bungeni, matokeo yake ni aina wabunge kama zainabu!!! Tatizo la hawa vijana wa waasisi wetu wanasahau sana kuwa wazazi ndio tunaowaheshimu na kwa mienendo yao walijipatia moral authority ambayo huwa hairithithishwi ....tatizo la huyu bint ni kutaka kujivika u rashid kawawa!!!! Nilimuangalia pale tcra siku alimpomdhalilisha prof. Nkoma na hata tib kwa bwana noni nikajiuliza huyu yeye ni nani ktk nchi hii?!!! Niliumia sana baada kutoona media wala wahusika kuitolea uvivu hulka ya bint huyu ila ni bwana zitto aliyekuja na lugha ya kistaarabu dhidi ya tcra.....jamani ccm tuchuje hawa watu kwakweli. Si kila mtoto wa mkapa ndie mkapa benjamin jamani