Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Wandugu kwa muda wa siku takribani 3 sasa mawasiliano katika mtandao wa Zain ni tabu tupu ukipiga simu mtu anapokea chini ya dakika moja simu inakatika katika mazingira ya kutatanisha au net work hakuna.
Mwanzo nilidhani ni simu yangu tu huenda iko na shida , lakini nikagundua hata jamaa zangu wanne hapa ofisini kwangu they are facing same problem.
Kwa kweli mtandao wenu haujatulia kabisa, hebu rekebisheni mnatukera sana wakati mwingine mtu unapiga simu muhimu kabisa mtandao unakuzeveza...
Mwanzo nilidhani ni simu yangu tu huenda iko na shida , lakini nikagundua hata jamaa zangu wanne hapa ofisini kwangu they are facing same problem.
Kwa kweli mtandao wenu haujatulia kabisa, hebu rekebisheni mnatukera sana wakati mwingine mtu unapiga simu muhimu kabisa mtandao unakuzeveza...