FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Nashangazwa sana na huduma za SMS zinavyokwenda..unaweza kutuma msg leo asubuhi inamfikia mhusika kesho au usiku au isifike kabisa kuna tatizo gani ?
FL mimi nilifikuli ni mim peke yangu mana msg za JUZI bado ziko pending
hapana King of King hauko peke yangu wengi tuna tatizo hilo ..sijaelewa kama zain hawana habari na hili ..hiki ni kilio cha wengi
Nashangazwa sana na huduma za SMS zinavyokwenda..unaweza kutuma msg leo asubuhi inamfikia mhusika kesho au usiku au isifike kabisa kuna tatizo gani ?
Wako majimboni kwenye Campaign
hahahaha Campain za nini Askofu???