Zain Dakika za mwisho kuuzwa, kubadili jina na kuwa AirTel?

Kwanini serikali isiamue kuichukua Zain na kuiunganisha na TTCL?

I call it a million dollar question.......Tatizo ni kwamba deal yote imefanyika Kuwait,hawa jamaa wa Bharti Airtel wameenda moja kwa moja Kuwait kufanya deal na Zain Group..Wahindi wameanza siku nyingi sana kulitafuta soko la Afrika,last time walijaribu kuinunua MTN wakashindwana dakika za mwisho...Ukute hata serikali ya Tza ilikuwa haijui kwamba Zain Group wana mpango wa kuiuza Zain Afrika ambayo ni kampuni mama ya Zain Tanzania
 
Kwanini serikali isiamue kuichukua Zain na kuiunganisha na TTCL?

MKJJ,

Zain Group is registered with Kuwait Stock Market; kumbuka GOT is a minor share holder, when they intended to sell Zain Africa, they informed the government.
Currently due diligence is underway, waliamua kufikia 25th March the dela should be closed.

Nahisi ni ngumu kwa serikali kununua, kwani bei wanayopata kwenye stock market in market value based on performances.
 
Hawajafulia wala nini....Ujio wa hawa jamaa wa Airtel waweza kuwa mapinduzi kwa huduma ya simu za mikononi Tanzania(hasa katika suala zima la gharama za simu za mikononi ambalo ni tatizo kubwa Bongo,jamaa wanatuibia sana)...Tusiwahukumu mapema,tusubiri tu na tuwaone
nakubaliana na wewe kiongozi,wahindi wako mbali sana ktk mawasiliano.tungoje tuone nadhani wataleta mapinduzi mazuri!
 
Hii ni siri nzito ambayo kwa kweli kamwe hatutapata nafasi kuifahamu ila kwa hisani ya walioifanya MSI DETECON ikapewa TTCL na kuanzisha celtel Tanzania (zain) kwanza kama kampuni tanzu ya TTCL na baadaye wakabadilisha jina la MSI na DETECON wakaibadilisha jina ikawa CI (celtel international) ndipo walipobadilisha nembo (rebranding) halafu waka i split kama independent company kutoka kampuni tanzu (subsidiary company) ya TTCL halafu kubadilisha jina iitwe zain.

Tutayafahamu haya walioshiriki mchakato watakapo okoka yaani wakati wana confess.
 
mh pana siri kubwa hapa nani wakuifunua hii siri kwani ni juzi tu wamebadili jina ata miaka 5 bado kamasikosei na walilalamikiwa kwa kuua ttcl
 
Zain katika hatua za mwisho za kuuzwa,Serikali katika hatua za mwisho kununua share za zain(35%),ambazo zain inamiliki ndani ya TTCL.

Hawa watu wanayajua mahesabu vizuri na watapata faida sana kama wadanganyika tutaendelea kukumbatia masharti ya world bank na IMF.Huu ni wakati wa waliohusika wote na kuibinafsisha TTCL na kumpatia mlaghai MO IBRA na baadaye wakakubali Celtel kujitoa TTCL na baadaye Celtel kuendelau kuuzwa na kuuzwa mpaka sasa Airtel huku maslahi ya nchi yakiwa hayajulikani kufikishwa kwenye mikono ya SHERIA, nao ni mafisadi vilevile.

Wataalamu watusaidie mahesabu kama Celtel ingeendelea kuwa mali ya TTCL mpaka leo je ni faida kiasi gani ingepatikana na hawa mafisadi waliokubali ulaghai wa MO nao wahesabike wameitia hasara serikali.
 
Zain clears Bharti's $10.7b buyout deal

It is a case of third time lucky for Sunil Bharti Mittal's African safari.
After two unsucessful attempts to acquire South Africa-based MTN, he now seems set to create a major presence in Africa.

On Wednesday, the board of Kuwait's telecom firm Zain approved the $10.7-billion sale of the firm's African assets to Bharti, news agencies reported. Bharti had tied up the $8.3 billon debt required some days back.
Post the transaction, Bharti Airtel will figure amongst the world's largest telecom companies with about 172 million (17.2 crore) customers.

Bharti now gets a foothold in 15 African countries. The company has been trying to grow beyond the home terrain - India, for some time now as increasing competition pushes down margins.

This will be the second largest cross border deal ever by an Indian company. In 2006, Tata Steel had purchased Corus at a valuation of $12 billion, putting it amongst the top global steel firms.

Bharti's stock price had witnessed a sharp drop after the company announced its intention to bid for Zain's African assets. The price being paid is seen as too high. However, the market has already discounted the deal, so a large upsurge or downside on the company's stock can be ruled out, says Mr Rajen Shah, chief investment officer, Angel Broking.

The deal comes at a time when Indian telecom companies are also readying for the 3G spectrum auction. Both the transactions simutaneously could put a strain on Bharti's balance sheet, says Mr Romal Shetty, telecom head, KPMG. But it shouldn't be a major problem given the $2-3 billion internal accruals of Bharti, he adds.

While the buyer and the seller have agreed to the deal, there is one major hurdle still. The minority shar-eholder in Zain's Nigerian asset, Econet Wireless is opposing the deal.
Econet says that it has the right of first refusal in case of an asset sale. Regulatory issues may also emerge in any of the 15 odd markets where Zain operates.
 
bora iuzwe tu, manake watu wengi walikuwa wanaogopa kuitumia kwasababu inamilikiwa na waarabu, si unajua mambo yao ya kishirikia wanaweza wakakutep hata kwa kutumia simu tu. ZAIN ikiwa na maana ya ZAINABU kwa uelewa wa wengi, inatoa jina la kibaguzi na wengi walikuwa hawaitumii kwasababu hiyo. kitu kingine ni kutuletea mimeseji ya kuran wakati mwingine.
 
  • The definitive agreements are to be signed in the coming days, it said

By John Ribeiro, IDG News Service
March 25, 2010

The board of directors at Mobile Telecommunications Company, also known as Zain, completed the due diligence process on Wednesday for Bharti Airtel’s proposed acquisition of its African operations.

The parties are finalizing definitive agreements, which are expected to be signed in the coming days, Zain of Kuwait said in a statement on Thursday. After signing, the parties will move towards getting any required approvals, it added.

The sale of Zain Africa BV does not include Zain’s operations in Sudan or its investment in Morocco, the company said.

Bharti Airtel, India's largest mobile carrier, said last month that it was in exclusive discussions to buy the African operations of Zain, in a deal with an enterprise value of US$10.7 billion. The period for exclusive discussions ends Thursday.

The bid for Zain’s operations came after Bharti Airtel failed twice to arrive at an agreement with MTN Group in South Africa. That plan was rejected by the South African government, which wanted to maintain MTN's separate identity.

Bharti Airtel earlier this week said it had tied up the entire financing of $8.3 billion needed for the proposed acquisition of Zain Africa.

The expansion into Africa, where less than 50 percent of the people have mobile phones, presents a good growth opportunity for Bharti Airtel, according to analysts. The Indian market is already saturated with far too many players, and average revenue per user is falling as a result of a tariff war, they added.

In Africa, Zain offers telecommunications services in Burkina Faso, Chad, Democratic Republic of the Congo, Republic of the Congo, Gabon, Ghana, Kenya, Madagascar, Malawi, Niger, Nigeria, Sierra Leone, Tanzania, Uganda and Zambia, according to the company’s Web site.

By expanding its business outside the country, Bharti Airtel will also gain the economies of scale needed to become more cost-efficient, Kamlesh Bhatia, a principal research analyst at Gartner, said in February.
 
hii kampuni siielewi sijui ni wasanii au ndo vipi?iliingia tanzania desemba 2001,ikiitwa celtel,wakitumia nembo ya dizaini flani hivi,then wakabadili nembo mwaka 2002 au 2003,kisha 2008 wakabadili jina na kuitwa zain,sasa wanauzwa wataitwa bharti sasa sijui ndo ukuaji au ?maana sababu ya kuuzwa wanadai wanapata hasara especially kenya na nigeria ndo wamepata hasara zaidi
 
hii kampuni siielewi sijui ni wasanii au ndo vipi?iliingia tanzania desemba 2001,ikiitwa celtel,wakitumia nembo ya dizaini flani hivi,then wakabadili nembo mwaka 2002 au 2003,kisha 2008 wakabadili jina na kuitwa zain,sasa wanauzwa wataitwa bharti sasa sijui ndo ukuaji au ?maana sababu ya kuuzwa wanadai wanapata hasara especially kenya na nigeria ndo wamepata hasara zaidi

Sio usanii ni biashara hiyo. AirTel wanapata soko jipya, Zain wanapata cash. Win-Win situation.
 
bora iuzwe tu, manake watu wengi walikuwa wanaogopa kuitumia kwasababu inamilikiwa na waarabu, si unajua mambo yao ya kishirikia wanaweza wakakutep hata kwa kutumia simu tu. ZAIN ikiwa na maana ya ZAINABU kwa uelewa wa wengi, inatoa jina la kibaguzi na wengi walikuwa hawaitumii kwasababu hiyo. kitu kingine ni kutuletea mimeseji ya kuran wakati mwingine.

My God,Hili sikujua.Ndio maana toka ibadilishwe roho yangu ilikuwa nzito kutumia zain.
 
Back
Top Bottom