Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wakuu,kulingana na taarifa rasmi nlizozpata muda huu toka chanzo cha kuaminika toka heslb,ni kwamba zaidi ya raia 15000 wamepigwa chini na heslb..watu wanaosoma udaktari wa binadamu&mifugo,uhandisi,kilimo na ualimu wa masomo ya sayansi na hisabati,wamelambwa 100%,wanaosoma ualimu wa masomo ya sanaa na biashara wamepewa kulingana na means testing,pia kuna wachache ambao wanasoma programs zisizo za kipaumbele wamebahatika kupata mkopo.chuo kikuu cha dar es salaam wanafunzi zaidi ya 1000 wamekosa mkopo kabisa!asanten .