Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,375
Kurugenzi ya Ikulu imefanya bonge ya miscalculations, wikileaks documents mpaka zitakapokuwa released zote sijui watatoa press release ngapi?
Hawatajibu tena, basically tactically wnaweza kusema kwamba Ikulu haiwezi kuhangaika kujibu kila cable kwa sababu kimsingi cable hizi hazna credibility kama yule mdada wa Ki Guinea aliyechakachuliwa na DSK.
Unless Waitara aongee wakijibu watakuwa wanaalia makaa tu.
Hapa anatakiwa kutafutwa Waitara atuambie kwa nini alimtilia ngumu rais wake, kama atataka kuongea kunaweza kuwa na bombshell hapa.