Zaidi ya Sh bilioni 1.8 zatumika kulipa wafanyakazi hewa mkoani Dodoma

OGTV

JF-Expert Member
May 22, 2016
353
167
Zaidi ya shilingi bilioni moja na milioni mia nane zimebainika kulipa watumishi hewa mkoani Dodoma kwa kipindi cha mwiezi miwili ya March na April mwaka huu huku mkuu wa mkoa huo Mhe Jordan Rugimbana akitahadharisha kuwa hatakuwa na msalie mtume kwa mkurugenzi au mkuu wa idara yeyote atakayebainika kuhusika na upotevu huo.
 
Back
Top Bottom