Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Alijizolea umaarufu sana. Binafsi hata mimi nilimuunga mkono Dr Slaa pale aalipoamua kupinga mishahara na posho nono za wabunge wetu. Kwa sasa wapiganaji wetu wa CDM hakuna hata mmoja ambaye anaonekana kukerwa na hili suala.
Nani mwenye uwezo wa japo kukemea tu though anaendelea kuchukua.
Nani mwenye uwezo wa japo kukemea tu though anaendelea kuchukua.