sa kuna mnyama anaitwa zhongtong naye anatembea kinomna
Scania zinakuwa nzito sana hasa kwenye kupandisha milima/milimani....lakini kwenye flat road...dah usipime!! Yutong ni laini mno na zinapepea kama karatasi, it is good by then!!
wadau kuna kaubishi kapo hapa kijiweni kwetu kuhusu efficiency ya haya magari especially mabasi. Ubishi ume-base sana kwenye
1) speed ya mabasi, wengi wanaSema yutong ni funiko kuliko scania na ud.
2) ubovu- wamerate kuwa ubovu mchina anaongoza na relate kipindi yalipoingia Yalilaza watu njian nikiwemo na mimi. Ud wanatolea mfano sumry anavoPotea kwenye ushindan.
3)oil consumption. Mchina consumption yake iko chini kuliko wote. je ni kweli
NaOmba wadau na wajuzi wanisaisidie kwasabab nahitaJi kujua ubora wa haya Magar na hata wadau wengine ambao wanaweza kutaKa kuinvest kwenye biashaRa ya magari itawasaidia
Huyutong co gari kwa mwenye akili timamu!
Tunaziona kila cku zinakufa gia box watu wanalala porini! UD na scania ndo mpango mzima! Mifano mizur ni basi za abood hood taqwa na falcon! ukipanda hizo safari ni huhakika kwa asilimia 95! Ila ukitaka kulala porini panda huyutong zisizo pewa service kama green star!
Wandugu yutng engine zake ni madhubuti asikudanganye mtu. ni za kimarekani toka magari ya MAN. MBIO NDO NYUMBANI KWAKE HAKUNA CHA MARCOPOLO WALA UD.
kama yutong ni bora kuliko scania, mbona mayutong mengi yaliyo dar wametoa diff iliyokuja nayo na wamefunga ya Scania, umeshapata jibu heehe
Binafsi sina vigezo vya kiutaalamu sana, ila nilisha(ga) panda yutong za Greenstar, Happynation, Muro na Luckystar, zote hizo haziwezi kulingana na Scania hata siku 1.. Scania iko poa n very strong..! Nakumbuka 2011 niliwahi kutoka mwanza saa 12:00 na kufika mbezi saa 19:15 na Scania ya Ally's,. So binafsi Yutong sijazikubali kwa kazi ila kwa starehe ziko poa sana.
wadau kuna kaubishi kapo hapa kijiweni kwetu kuhusu efficiency ya haya magari especially mabasi. Ubishi ume-base sana kwenye
1) speed ya mabasi, wengi wanaSema yutong ni funiko kuliko scania na ud.
2) ubovu- wamerate kuwa ubovu mchina anaongoza na relate kipindi yalipoingia Yalilaza watu njian nikiwemo na mimi. Ud wanatolea mfano sumry anavoPotea kwenye ushindan.
3)oil consumption. Mchina consumption yake iko chini kuliko wote. je ni kweli
NaOmba wadau na wajuzi wanisaisidie kwasabab nahitaJi kujua ubora wa haya Magar na hata wadau wengine ambao wanaweza kutaKa kuinvest kwenye biashaRa ya magari itawasaidia