Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Angekujua kuwa mpaka spana unashika ndio angelia kabisa.
Hebu mwambie.......hanijui huyo.....
Angekujua kuwa mpaka spana unashika ndio angelia kabisa.
Ziko Bandarini? Make njiani sijawahi ona kitu cha aina hiyoAhsante mleta uzi...Kuna vitu nimejifunza leo tena vingi tu japo sijapenda kuishindanisha SCANIA na YouTong
Kama umeizalilisha hivi...anyway ahsante nimejifunza vingi leo
Hivi kuna Scania na Marcopolo .....usichokijua ni usiku wa giza bora usichangieya leo kali
Yutong first class kdgo zpo vzur ila scania hana mpinzani kabisa akifatiwa na marcopolo
Hivi kuna Scania na Marcopolo .....usichokijua ni usiku wa giza bora usichangie
Mashine gani hii Mkuu?https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=109480&stc=1&d=1377687668
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=109481&stc=1&d=1377687706
mwisho wa yote mnaongelea kuhusu mashine hizi
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!Anauliza thamani ya Zidane na Lunyamila huyo.
Kweli kaliya leo kali
Cummins ni mmarekani.Kwahiyo kumbe hizi engine Cummins sio za kichina ila body ndio mchina?
Yutong first class kdgo zpo vzur ila scania hana mpinzani kabisa akifatiwa na marcopolo
Zipo na zinapindia Chalinze from Arusha to mbeya pia nyingine za from Arusha to mbeya, mkuu basi za abood za route iyo zipo na mi scaniaArusha-Mbeya?...Labda kama kaanza jana!
Kitu kama hukijui unaweza kudanganya bila kujua, ni Tata ngap zimeundwa kwa bodi ya marcopolo? Au hujui?marcopolo ni scania mkuu kabla hata hujaenda katika specification za scania aina gani
Marco Polo ni Hatari mzee japo haijafkia scaniaYutong first class kdgo zpo vzur ila scania hana mpinzani kabisa akifatiwa na marcopolo
Mkuu. Kwa nijuavyo mimi. Marcopolo ni body builders. Ndio maana kuna gari za scania zina body ya marcopolo, TATA zenye body ya marcopolo n.k.Marco Polo ni Hatari mzee japo haijafkia scania