blackberry m
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 563
- 413
Habari zilizonifikia ni kwamba Bwana Yusuf Manji ameteuliwa kuwa Balozi wa Amani Africa na World Organization for Peace (WOFP/OMPP).
World Organization for Peace ni Shirika la Kimataifa linaloshughulika na kulinda Uhai wa binadamu Duniani.
View attachment 385699
Tunajivunia kwa Mtanzania mwenzetu kupewa heshima ya kimataifa. Maana hii ni Sifa ya Nchi pia.
World Organization for Peace ni Shirika la Kimataifa linaloshughulika na kulinda Uhai wa binadamu Duniani.
View attachment 385699
Tunajivunia kwa Mtanzania mwenzetu kupewa heshima ya kimataifa. Maana hii ni Sifa ya Nchi pia.