watanzania tunafahamu mchango wa yusuf makamba katika kukijenga Chama cha Mapinduzi (CCM) ametangaza rasmi mwaka 2015 atachukua fomu ya kugombea urais wa Tanzania . nadhani kwa upande wa taifa letu hajawahi kutokea mgombea makini kama makamba na nadhani yeye atakuwa ni rais safi kupita wote.
naomba wajumbe tuanze kujadili kazi za makamba na kama kuna mapungufu yake pia kabla hajachukua kiti hiki cha urais
naomba wajumbe tuanze kujadili kazi za makamba na kama kuna mapungufu yake pia kabla hajachukua kiti hiki cha urais